ABIRIA 250
waliokuwa wakisafiri kwa meli ya MV Seagul, kutoka Dar es Salaam kwenda
Pemba, wanahofiwa kufa baada ya meli hiyo kuzama mchana leo kwenye
Bahari ya Hindi.
Habari zilizothibishwa na Jeshi la Polisi zimesema kweli ajali hiyo imetokea na kwamba hivi sasa wanaitafuta meli hiyo kwa kutumia helkopta.
Habari zaidi za tukio hili tutazidi kuwaletea kadri tutakavyokuwa tunapata.
Habari zilizothibishwa na Jeshi la Polisi zimesema kweli ajali hiyo imetokea na kwamba hivi sasa wanaitafuta meli hiyo kwa kutumia helkopta.
Habari zaidi za tukio hili tutazidi kuwaletea kadri tutakavyokuwa tunapata.