tag:blogger.com,1999:blog-57785600570096875602023-11-16T06:38:37.956-08:00Wake up TanzaniaWake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.comBlogger136125tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-76861585658184092022013-10-25T03:00:00.001-07:002013-10-25T03:00:42.679-07:00Kartel ft Amonizer++My Love++Ful HD<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="344" src="//www.youtube.com/embed/85sJ1QJPL1k" width="459"></iframe>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-84170616813968872622013-10-24T04:11:00.000-07:002013-10-24T04:11:05.155-07:00WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KILA MMOJA KWA KOSA LA UNYANG’ANYI WA KUTUMIA SILAHA....<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: small;"><img border="0" height="300" src="http://4.bp.blogspot.com/-LcOBDxyJwFA/UmitiUXqjJI/AAAAAAAAA14/EyEE9QlWw6M/s400/1.jpg" width="400" /></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: small;"><span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span><span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/10/DSC03850.jpg" data-page-action="pinImage"></span></span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Askari
wa polisi mjini Singida akiwaelekeza washitakiwa wanne wa kesi ya
unyang’anyi wa kutumia silaha kuingia kwenye gari tayari kwenda kuanza
kutumikia adhabu zao kila mmoja miaka 30 jela baada ya kutiwa hatia kwa
kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha.Washitakiwa hao walitiwa hatiani
kwa kosa la kuteka gari la chuo kikuu cha SUA SU 37012 na kisha kuwapora
abiria shilingi 8.7 milioni.Pia walibomoa na kusachi jeneza lililokuwa
limehifadhiwa mwili wa marehemu mwanafunzi wa SUA,Munchari Lyoba
uliokuwa ukipelekwa mkoa wa Mara kwa mazishi.<a name='more'></a> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: small;"><span><img border="0" height="300" src="http://2.bp.blogspot.com/-N-nCEZ3fvyA/Umitj6KY-xI/AAAAAAAAA2E/24X31j_3sd8/s400/2.jpg" width="400" /></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
</div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span><a href="http://www.blogger.com/null" name="more" target="_blank"></a></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span><span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/10/DSC03851.jpg" data-page-action="pinImage"></span></span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><b><span>Mshitakiwa
aliyetiwa hatiani kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha na kupora
abiria wa gari la SUA shilingi 8.7 milioni Hamisi Issah (wa kwanza
kulia) akipanda gari tayari kwenda kuanza kutumikia adhabu yake jela
miaka 30.Pia mwenye kofia ya bakharasia,Abubakari Jumanne naye katiwa
hatiani kwa kosa la unyang’anyi.</span></b></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;">
<b><span> </span></b></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: small;"><span><img border="0" height="300" src="http://4.bp.blogspot.com/-SsEapHgWvCs/UmitlG9FhFI/AAAAAAAAA2M/HU0Re6AuPjo/s400/3.jpg" width="400" /></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span><span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/10/DSC03855.jpg" data-page-action="pinImage"></span></span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Washitakiwa
wanne waliotiwa hatiani kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha
wakiwa kwenye gari la polisi tayari kwenda kuanza adahabu zao za kila
moja miaka 30.Washitakiwa hao walitiwa hatiani kwa kosa la kuteka gari
la chuo kikuu cha SUA na kupora abiria shilingi 8.7 milioni.Washitakiwa
hao pia inadaiwa walibomoa jeneza lililokuwa limebeba mwili wa
mwanafunzi wa SUA Munchari Lyoba na kulisachi kwa imani kuwa limetumika
kuhifadhi mali.(Picha na Nathaniel Limu). </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: small;"><span><img border="0" height="300" src="http://4.bp.blogspot.com/-IF26A4_rbrg/UmitmIEkOkI/AAAAAAAAA2U/NUEGfkQ9NTA/s400/4.jpg" width="400" /></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span><span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/10/DSC03857.jpg" data-page-action="pinImage"></span></span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Mahakama
ya wilaya ya Singida imewahukumu vijana wakulima wanne wakazi wa
Manispaa ya Singida adhabu ya kutumikia jumla ya miaka 120 jela baada ya
kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa shilingi 8.7 milioni kwa kutumia
silaha.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Washitakiwa hao kabla na baada ya unyang’anyi
huo walitumia silaha aina ya bunduki,nondo,mawe na fimbo katika
kufanikisha azma yao hiyo.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Washitakiwa hao vijana ambao
kila mmoja atatumikia jela miaka 30,ni Hamisi Ally (23),Hamisi Issa
(33),Khalid Hamisi (21) na Abubakari Jumanne (26) wote wakazi wa kijiji
cha Kisaki Manispaa ya Singida.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Mshitakiwa aliyekuwa wa
kwanza kwenye kesi hiyo Idd Omari (38) mkazi wa kijiji cha Kisaki
aliachiwa huru awali baada ya kutokutambuliwa na walalamikaji katika
paredi mbili za utambuzi zilizofanywa na Jeshi la Polisi.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Washitakiwa
hao pia wanadaiwa kuwa baada ya kufanikiwa kupora mali na fedha taslimu
waliweza kubomoa jeneza lililokuwa lina mwili wa mwanafunzi wa SUA,
Munchari Lyoba na kuchana chana sada kwa imani kwamba kuna mali
iliyokuwa imehifadhiwa humo Mwili wa Lyoba alikuwa ukipelekwa Tarime
mkoani Mara kuzikwa.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Kabla ya kutolewa kwa hukumu
hiyo,Mwendesha Mashitaka Sajenti wa Polisi,Godwel Lawrence amesema
pamoja na washitakiwa wote kutokuwa na rekodi yoyote ya makosa ya jinai
lakini kitendo walichokifanya ni cha kinyama na cha aibu mbele ya macho
ya jamii.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>“Kwa hiyo,Mheshimiwa hakimu naiomba mahakama
yako tukufu iwape washitakiwa wote adhabu kali ambayo itakuwa fundisho
kwao na watu wengine wanaotarajiwa kufanya makosa ya jinai kwa kutumia
silaha au nguvu ya aina yoyote”,amesema Lawrence.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Kwa
upande wao washitakiwa kila mmoja kwa nafasi yake walitoa maombolezo
yaliyofafana kwamba wana familia zinazowatengea kwa asilimia kubwa na
kwamba kosa hilo ni la kwanza kutenda toka wazaliwe Hivyo wakaiomba
mahakama hiyo iwape adhabu nafuu.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Akisoma hukumu hiyo
iliyochukua saa moja na dakika 45,Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya
ya Singida,Flora Ndale amesema usahidi wa upande wa mashitaka
umethibitisha bila kuacha chembe chembe ya shaka kwamba washitakiwa wana
hatia kama walivyoshitakiwa.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>“Walalamikaji wote ambao
walikuwa abiria kwenye gari lililokuwa likisafirisaha mwili wa marehemu
mwanafunzi wa SUA maelezo yao yanafafana wote waliweza kuwatambua vema
washitakiwa kwa msaada wa taa za gari na mbalamwezi”,amesema.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Ndale
amesema kiongozi wa msafara huo Makaranga Nona,aliiambia mahakama
kwamba mshitakiwa wa pili na wa tatu walimwamuru kufungua ‘brief case’
mbele ya gari huku mwanga wa taa za gari ukiwamulika.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>“Kama
hiyo haitoshi,dereva wa gari hilo Kalistus Malipula ameiambia mahakama
hii kwamba mshitakiwa wane alimbebeleza kwa muda mrefu ampe simu mbili
za marehemu na maombi hayo alikuwa akiyatoa huku mwanga wa taa za gari
ukimmulika”.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span>Kwa mujibu wa Mwendesha Mashitaka Lawrence
washitakiwa hao wametenda kosa hilo Desemba sita mwaka jana saa saba
usiku huko katika barabara kuu ya Dodoma – Singida eneo la kijiji cha
Kisaki.</span></span></div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-75389753434177149102013-10-24T04:08:00.000-07:002013-10-24T04:08:05.781-07:00DOGO JANJA ATIMULIWA MTANASHATI ENTERTAINMENT KWASABABU YA UNYWAJI POMBE,UVUTAJI BANGI NA KUTOKWENDA SHULE....<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-rarP5Chp7Sc/UmipjyHJ0RI/AAAAAAAAA1s/hGxpXQd1Ns0/s1600/DG.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="400" src="http://4.bp.blogspot.com/-rarP5Chp7Sc/UmipjyHJ0RI/AAAAAAAAA1s/hGxpXQd1Ns0/s400/DG.jpg" width="361" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: medium;"></span></div>
<br />
<span style="font-size: small;"><span>Akizungumza na Mtandao huu, kiongozi wa Mtanashati Entertainment
Ustaadh Juma Namusoma alisema kuwa sababu za kumtimua Dogo Janja ni
utovu wa nidhamu, unywaji pombe, kutokwenda shule pamoja na uvutaji
bangi.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> <a name='more'></a></span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
</span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Aliongeza kuwa tayari amempatia nauli ya shilingi 90,000/= kurudi
nyumbani kwao jijini Arusha alipotokea. Dogo Janja alitua kwa mbwembwe
jijini Dar es Salaam kwa ndege Juni 22 mwaka jana akitokea Arusha na
kujiunga na kundi hilo.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
</span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Awali alikuwa katika kundi la Tip Top Connection linaloongozwa na
Madee lakini ilitokea kutoelewana kati yao na kurudishwa kwao Arusha. </span><br />
<span><br /></span>
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> Alipopigiwa simu na Mtandao huu, Dongo Janja alidai kuwa bado ni memba
hai wa Mtanashati Entertainment.</span></span>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-88551815555142359132013-10-24T04:03:00.003-07:002013-10-24T04:03:45.642-07:00MBUNGE WA CCM MWENYE MIAKA 60 AJIKUTA KWENYE KASHFA NZITO BAADA YA KUOLEWA NA KIJANA WA MIAKA 26....<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: medium; margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="300" src="http://1.bp.blogspot.com/-T6BoiuUZuEA/UminMHfFIYI/AAAAAAAAA1g/N2H3_-2oY5g/s400/1.jpg" width="400" /></span></div>
<span style="font-size: small;"><span>MBUNGE wa Viti Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rosweeter
Kasikila (60), amejikuta kwenye kashfa nzito ya kufunga ndoa na kijana,
kinda wa miaka 26, Michael Christian.</span><br />
<span><a name='more'></a><br /></span>
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Ndoa hiyo ambayo ilifungwa katika Kanisa la Tanzania Assembles of God
(TAG), linaloongozwa na Mchungaji Getrude Rwakatare ambaye pia ni
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia CCM, imebaki kuwa gumzo na kuwaacha hoi
baadhi ya mawaziri, wabunge wanaoifahamu pamoja na majirani wanaoishi
na mbunge huyo.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Vyanzo vya habari kutoka ndani ya wanandoa hao na majirani
wanaowazunguka, vililiambia gazeti hili kuwa ndoa hiyo ilifungwa
Septemba Mosi mwaka 2011, na imebaki kuwa siri kabla ya wawili hao
kukorogana.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Kabla ya wawili hao kuamua kufunga ndoa, mbunge huyo kutoka mkoani
Rukwa, mwenye makazi yake Bagamoyo mkoani Pwani, alikuwa akimtumia
Michael kwenye shughuli mbalimbali na muda wote alikuwa akiishi
nyumbani kwa mbunge huyo.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
<b>Inaelezwa kuwa mbunge huyo ambaye ana familia ya watoto wawili ambao
kiumri wanalingana na Michael</b>, alianza uhusiano wa kimapenzi na kijana
huyo kwa siri kubwa na baadaye alifanikiwa kumshawishi wafunge ndoa
huku akimuahidi kumpa huduma mbalimbali anazotaka.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Kwa mujibu wa habari hizo, wawili hao waliamua kufunga ndoa katika
Kanisa la TAG baada ya mbunge huyo kufanikiwa kumshawishi Mchungaji
Rwakatare kwamba ndoa hiyo itakuwa siri, hasa kutokana na tofauti ya
kiumri kati yao.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Hata hivyo ndoa hiyo kwa sasa imekumbwa na mgogoro mkubwa, huku
mbunge huyo akidaiwa kuzuia kila kitu cha mumewe huyo, hasa vyeti vyake
vya shule kama njia ya kumbana warudiane.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><b>Siku ya harusi </b></span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Kwa mujibu wa mashuhuda wa harusi hiyo ya aina yake, mbunge na
kijana huyo walikwenda kanisani wakiwa wawili bila mashahidi kama
ilivyo kawaida, na ndoa hiyo ilifungwa katika ofisi ya kanisa na sio
ndani ya kanisa.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Mashahidi wa ndoa hiyo waliitwa hapo hapo kanisani na walisimamia na
kushuhudia utiaji saini wa cheti cha ndoa na kisha wanandoa hao
kutawanyika kwenda kwenye fungate (<i>Honey Moon)</i>. Hakukuwa na sherehe baada ya kufungwa ndoa.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Inadaiwa kuwa hakukuwa na ndugu yeyote wa maharusi hao aliyeshuhudia
tukio hilo la kihistoria la wawili hao kuunganishwa na kuwa mwili
mmoja.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><b><br /></b></span>
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><b>Kauli ya Bwana harusi</b></span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Tanzania Daima Jumatano, lilifanikiwa kumpata Michael, ambaye katika
mazungumzo yake alikiri kufunga ndoa na mbunge huyo Septemba Mosi
mwaka 2011, lakini kwa sasa wametengana kutokana na sababu ambazo
hakutaka kuziweka wazi.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
“Mimi nadhani hili ni jambo binafsi, sio vizuri kulizungumza
hadharani ila kweli nilifunga naye ndoa maana inaonekana mnajua mambo
mengi kunihusu, na ni kweli kwa sasa tumeachana,” alisema kwa kifupi.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Alisema walikutana na mbunge huyo Bagamoyo wakati alipokuwa akifanya
mafunzo kwa vitendo katika hospitali ya wilaya hiyo kama muuguzi mkunga
wakati mbunge huyo akiwa muuguzi mkuu wa wilaya katika hospitali hiyo.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Alipoulizwa sababu za kukubali kufunga ndoa na mama wa umri wa miaka
60 wakati ana miaka 26 na sababu za ndoa hiyo kuvunjika, Michael
alisema ana historia ndefu katika maisha yake kwani alizaliwa yatima na
amekua na kulelewa kwa ufadhili wa kituo cha Safina Street Network.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
“Katika mazingira niliyokulia, unaweza kujua kwanini nilikubali
kuingia kwenye ndoa hiyo. Sina ndugu hata wa kunishauri. Hata hivyo,
hayo tuyaache. Lakini ukweli ndio huo, lakini kwa sasa tumeachana, kila
mtu ana maisha yake,” alisema Michael kwa masikitiko.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Michael ambaye kwa sasa anasoma katika Chuo Kikuu cha Muhimbili, pia
alikiri kuwa mbunge huyo anashikilia vyeti vyote vya shule ambavyo
anavihitaji sana kwa ajili ya kusaka ajira baada ya kumaliza masomo
yake Muhimbili.</span><br />
<span><br /></span>
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Alitaja sababu ya kuvunja ndoa hiyo kuwa ni manyanyaso kwa vile ni
mdogo na masikini kwani hakuwa na sauti na alibanwa kwa kila kitu kiasi
cha kukosa kabisa amani katika maisha yake.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
“Kimsingi ndoa yangu na mama imevunjika na ilivunjikia mikononi mwa
Rwakatare wakati akijaribu kutusuluhisha, alinitaka nirudi kwa mama,
hapana, siko tayari na hapa nataka vyeti vyangu tu basi,” alisema
Michael. </span><br />
<span><br /></span>
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><b>Mbunge ang’aka</b></span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Kwa upande wake, mbunge huyo alipoulizwa, kwanza alikuwa mbogo na
kukataa katakata kuzungumza kwa madai kuwa hawezi kuzungumzia jambo
hilo zito kwenye simu.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Mbunge huyo alikiri kuwapo kwa ndoa hiyo, lakini alipinga kwamba
haijavunjika na kumhoji mwandishi wa habari hizi kama anajua taratibu
za kuvunja ndoa.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
“Michael kakuambia hiyo ndoa imevunjika? Wewe si unajua taratibu za
ndoa kuvunjika? Kwanza nimeshasema sitaki kuzungumzia suala hili kwenye
simu ukitaka tuonane kesho kwani kuna haraka gani? Jambo la haraka ni
la mjamzito kutaka kujifungua, lakini kama ni suala hilo hakuna sababu
ya uharaka,” alisema mbunge huyo.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Hata hivyo baada ya kubanwa, mbunge huyo alimtaka mwandishi wa habari
hizo kukutana naye katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam
kwa ajili ya kupata ufafanuzi, lakini cha ajabu mwandishi alipofika
katika ofisi hizo hizo, mama huyo alizima simu yake na hakupatikana
tena.</span><br />
<span><br /></span>
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><b>Mchungaji Rwakatare</b></span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Alipotakiwa kuzungumzia ndoa hiyo, Mchungaji Rwakatare kwanza aling’aka kwamba hajawahi kufungisha ndoa ya aina hiyo.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Lakini alipobanwa alikiri kuikumbuka ndoa hiyo na kwamba ilifungishwa
na mchungaji wa kanisa lake, aliyemtaja kwa jina la Mchungaji
Mtetumo.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
Alimtetea mchungaji wake kwamba alichokifanya ni kutimiza wajibu wake
wa kichungaji wa kufungisha ndoa, hasa kama wanandoa wametimiza
vigezo.</span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">
“Wajibu wa kanisa ni kufungisha ndoa, kama wanandoa wamekidhi vigezo
vya kanisa. Sio kazi ya kanisa kuwachagulia wachumba kwa maana hakukuwa
na sababu ya kuhoji umri wao, wala jambo lolote zaidi ya kufungisha
ndoa hiyo,” alisema Mchungaji Rwakatare.</span></span>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-78796132996765713072013-10-24T04:00:00.002-07:002013-10-24T04:00:31.260-07:00UKATILI!! MWANAUME AMNYWESHA MPENZI WAKE TINDIKALI, KISA WIVU.....<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
<img border="0" height="307" src="http://4.bp.blogspot.com/-u7fPz0Ekb1E/UmiiRcA7XNI/AAAAAAAAA1Q/BpKl8q3KgKE/s400/tindikali.jpg" width="400" /><span style="font-size: medium;">
</span></div>
<br />
<br />
<div>
<span style="font-size: medium;">Jitendra Sakhpal akisindikizwa na polisi kuingia mahakamani.
Msichana mdogo ameungua vibaya baada ya rafiki yake wa kiume aliyevunja
naye uchumba kudaiwa kumtega walipokutana, kumlazimisha kunywa tindikali
na kumsukumia kwenye bahari.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;"><a href="http://www.blogger.com/null" target="_blank"><a name='more'></a><br /></a></span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Ripoti nchini India zinadai msichana huyo hapo kabla alikuwa mpenzi wa
Jitendra Sakhpal, miaka 21, ambaye alikuwa amemchumbia, lakini alikataa
kuolewa naye na kusitisha mahusiano hayo sababu familia yake
haikumridhia mwanaume huyo asiye na ajira.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Baba wa msichana
huyo aliripotiwa kuieleza polisi kwamba mvulana huyo alikuwa
akiwasumbua, na ndugu mmoja wa kike alidai kwamba Sakhpal alitishia
kumuua baba wa msichana huyo, kwa mujibu wa ripoti hizo.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Msichana huyo, ambaye hakutajwa jina, anaripotiwa kuwa mahututi kwenye Hospitali ya Thunga, mjini Mumbai.<a href="http://www.blogger.com/null" name="more" target="_blank"></a></span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Sakhpal amekamatwa na kushitakiwa kwa jaribio la mauaji.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Shambulio
hilo limetokea Jumamosi huko Gorai Beach katika kitongoji cha magharibi
mwa Mumbai. Wote ni wakazi wa Dahisar mjini Mumbai.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Msichana
huyo mwenye miaka 18, mwanafunzi wa HSC ambaye ametokea Borivali,
alikutana na Sakhpal wakati akiondoka chuoni Jumamosi, kwa mujibu wa
Polisi.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">"Jumamosi, Sakhpal alikutana na msichana huyo nje ya
chuoni kwake huko Gorai na kumtaka amsindikize kwa matembezi kidogo.
Wawili hao walipanda boti na kwenda kijiji cha Gorai," inspekta wa ngazi
ya juu Deepak Bagawe alieleza.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Inspekta huyo alisema Sakhpal
alijaribu kumshawishi mpenzi wake huyo wa zamani kurejesha mahusiano
yao, lakini pale binti huyo alipokataa alidaiwa kutoa tindikali hiyo.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Kwa
mujibu wa polisi, alidaiwa kumpanua msichana huyo mdomo na kujaribu
kumimina tindikali hiyo ndani ya mdomo wake. Kiasi kidogo kilimwagikia
usoni mwa binti huyo na kupata majeraha ya kuungua kwa asilimia 10-15.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Madaktari sasa wanajaribu kutathmini kiasi gani cha madhara ya ndani ya mwili aliyopata.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">"Sakhpal
anaonekana kuwa alipanga hayo kabla kutokana na kuwa amebeba kabisa
tindikali hiyo," msaidizi wa kamishna wa polisi Mahesh Patil, alieleza.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Taarifa
zinasema kwamba baada ya baba wa msichana huyo kulalamika kwa polisi
kuhusu mvulana huyo, wawili hao waliripoti kwenye kituo cha polisi na
'kuandika kwamba hawatakutana tena na suala hilo limeshapatiwa
ufumbuzi," alisema Deepak Bagawe, inspekta wa ngazi ya juu wa polisi wa
Gorai.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Mmoja wa jamaa wa binti huyo alieleza: "Hapo awali
tulifungua madai kuhusu kijana huyo. Alizoea kumtesa binti huyo na
kumpiga hadharani. Alifikia hata kumtishia kumuua yeye na baba yake."</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Hali ya binti huyo inaimarika lakini bado hawezi kutoa maelezo, kwa mujibu wa polisi walionukuliwa.</span></div>
<div>
<span style="font-size: medium;">Ripoti
zimedokeza kwamba baba wa msichana huyo anafanya kazi kwenye
halmashauri ya mji huo wakati baba wa mvulana huyo ameajiriwa na kampuni
binafsi</span></div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-27351131955565015462013-10-22T04:57:00.001-07:002013-10-22T04:57:55.619-07:00Kijukuu YOUNG DEE New Tanzanian music 2013<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="344" src="//www.youtube.com/embed/klsj48E8bEM" width="459"></iframe>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-89694007860125448092013-10-22T04:52:00.001-07:002013-10-22T04:52:24.220-07:00RIJO B ft AINEA nimemuacha aende Official Video==full HD<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="344" src="//www.youtube.com/embed/mCOgYiDVzMA" width="459"></iframe>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-898787027568217772013-08-29T12:36:00.003-07:002013-08-29T12:36:10.460-07:00<h3 class="post-title entry-title">
WAASI WA M23 WAMUUA MWANAJESHI WETU WA JWTZ HUKO KONGO
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div id="aim13243535753195236735">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<img border="0" height="279" src="http://2.bp.blogspot.com/-I8tDn-T-Q_A/Uh-aMf9i0II/AAAAAAAAlFk/WGdduaXAepc/s400/1.png" width="400" /></div>
<span style="font-size: small;"><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>TAARIFA KUHUSU TUKIO LA KUFARIKI KWA AFISA WA JWTZ KATIKA JUKUMU LA KULINDA AMANI - DRC, GOMA<br />
<a name='more'></a><br />
1. Kama mnavyofahamu, JWTZ linashiriki katika operesheni za Umoja wa
Mataifa huko Goma DRC. Kikosi chetu kimeendelea kutekeleza majukumu yake
ya kulinda amani kama kinavyopangiwa na Jeshi la Umoja wa Mataifa
nchini DRC lijulikanalo kama MONUSCO.<br />
<br />
2. Tarehe 28 Agosti 2013 wanajeshi wetu wakiwa katika eneo lao la Ulinzi
waliangukiwa na bomu katika eneo hilo na kusababisha majeruhi. Wakati
wanapelekwa hospitali kwa matibabu, kwa bahati mbaya mwanajeshi wetu
mmoja, Meja Khatibu Mshindo alifariki dunia. Majeruhi wengine
wanaendelea na matibabu, na hali zao zinaendelea vizuri.<br />
<br />
3. MONUSCO inaandaa utaratibu wa kuleta mwili wa marehemu.<br />
<br />
<br />
Imetolewa na:<br />
Kurugenzi ya Habari na Uhusiano<br />
Makao Makuu ya Jeshi.<br />
Dar es Salaam.</span></span></span></div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-38861725907820220382013-08-29T12:34:00.005-07:002013-08-29T12:34:57.453-07:00TRAFFIKI FEKI ALIYEKAMATWA HIVI KARIBUNI ALIKUWA NI MFUNGWA WALIYETOROKA GEREZANI <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<br />
<div style="text-align: justify;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: medium;"><img border="0" height="400" src="http://4.bp.blogspot.com/-RUMh5k4awRo/Uh8hEZmQZeI/AAAAAAAAlE4/dqmX8UQxsVc/s400/1.png" width="370" /></span></span></div>
<br />
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>MAZITO tena yameibuka kuhusu yule
trafiki feki James Hussein, mkazi wa Kimara Matangini, jijini Dar es
Salaam ambaye yuko Gereza la Segerea, Dar akikabiliwa na kesi ya
kujifanya askari wa usalama barabarani.<br /><a name='more'></a><br />Habari za ndani kutoka
Gereza la Isanga, Dodoma zinadai kuwa, trafiki huyo ana mambo mengi ya
kushangaza ambayo Watanzania wengi hawayajui.<br /><br />Mtoa habari wetu alisema kuwa, James Hussein si jina halisi la trafiki feki huyo. Alisema jina lake halisi ni Ali Kinanda.<a href="http://www.blogger.com/null" name="more"></a><br /><br />“Yule
jamaa anaitwa Ali Kinanda, sisi kumwona kwenye picha gazetini akijiita
James Hussein tulishangaa sana,” kilisema chanzo chetu.<br /><br />Chanzo
kikazidi kudai kwamba, kuanzia mwaka 1984 jamaa huyo alikuwa ni askari
magereza katika Gereza la Butimba, Mwanza hadi mwaka 1987 alipoacha.<br /><br />Mtoa
habari wetu aliendelea kumwanika trafiki feki huyo kuwa, mwaka 2002
mtuhumiwa huyo alidaiwa kupata msala wa tukio la ujambazi lililotokea
Mpwapwa, Dodoma ambapo kesi yake iliunguruma hadi mwaka 2003 ambapo
hukumu ilitolewa yeye na wenzake kwenda jela miaka 30.<br /><br /> “Mwaka
2002 mpaka 2003, Kinanda alipata kesi ya ujambazi akiwa na wenzake,
sikumbuki idadi yao. Kesi iliisha kwa hukumu ya miaka 30 jela kwenye
Gereza la Isanga hapa Dodoma,” alisema mnyetishaji huyo.<br /><br />“Akiwa
gerezani, Kinanda alionekana mtiifu kiasi kwamba alipewa cheo cha
kusimamia wenzake, yaani mnyapara wakiamini anaendelea vizuri na kifungo
chake hicho.<br /><br />“Hakuna aliyejua kama jamaa anaweza kutoroka. Ama
kweli moyo wa mtu anaujua mwenyewe. Hivi hapa (Gereza la Isanga)
wafungwa wenzake wameshangaa kusikia jamaa amekuwa trafiki huko Dar es
Salaam,” kilidai chanzo.<br /><br />Habari zaidi ziliendelea kudai kwamba,
Desemba 10, 2012 akiwa gerezani, mfungwa huyo alitoroka katika mazingira
ya kutatanisha akiwa chini ya uangalizi wa askari magereza
aliyejulikana kwa jina moja la Shaibu.<br /><br />Ilidaiwa kuwa, baada ya
picha yake kuonekana kwenye gazeti, askari magereza wa Isanga
waliutaarifu uongozi mara moja ambapo nao ulituma wachunguzi jijini Dar
es Salaam kwa ajili ya kuanza mchakato wa kumtia mikononi mfungwa huyo
ili akamalizie kifungo chake cha miaka thelathini jela.<br /><br />Inadaiwa
kuwa, wachunguzi hao ambao ni askari magereza wapo Dar wakisubiri siku
ya kesi ya kujifanya trafiki itakapopelekwa kusikilizwa kwa hakimu.<br /><br />Wakati
mnyetishaji wetu kutoka gerezani Isanga Dodoma akianika madai ya siri
hiyo nzito, Agosti 26, mwaka huu jijini Dar es Salaam, Mwandishi Wetu, alipata taarifa kuwa, mtuhumiwa huyo wa kutenda kosa
la kujifanya trafiki amefariki dunia ghafla akiwa gerezani Segerea.<br /><br />Ilibidi
mwandishi wetu amtafute Msemaji wa Jeshi la Magereza Tanzania, Meja
Mtiga Omar na kumuuliza kuhusu madai hayo ya kifo ambapo alisema:<br /><br />“Si
kweli kwamba amekufa, bali ana tuhuma nyingine ya kutoroka gerezani
ambapo tutamfungulia mashitaka mengine ya kutoroka akiwa gerezani
anatumikia kifungo chake.”<br /><br />Juhudi za kumpata Mkuu wa Gereza la
Isanga, Dodoma zilishindikana baada ya simu yake ya mkononi kuita kwa
muda mrefu bila kupokelewa.<br /><br />James Hussein kama ndiye Ali Kinanda
yupo Gereza la Segerea, hadi Septemba 5, 2013 kesi yake itakaporudi tena
mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Joyce Minde
kwa ajili ya kusikilizwa.</span></span></span></div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-87284895140849562692013-08-29T12:32:00.005-07:002013-08-29T12:32:57.303-07:00UPDATE: MAJAMBAZI YALIYOVAA SARE ZA POLISI YAVAMIA HABIB AFRIICAN BANK NA KUPORA MAMILIONI <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<img border="0" height="270" src="http://3.bp.blogspot.com/-u29fUh8MQ_U/Uh8eUmGnn-I/AAAAAAAAlEo/Wn7UhLmp60s/s400/1.png" width="400" /></div>
<br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: medium;">Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi ambao wamevalia sare za Jeshi la Polisi
wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha
Fedha.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><a name='more'></a><br /></span>
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: medium;"> Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa
tukio hilo..</span></span><br />
<br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: medium;">Habari zaidi baadae. </span></span>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-12640729335902616772013-08-29T12:31:00.001-07:002013-08-29T12:31:09.267-07:00MWIGULU NCHEMBA ATAKA MBOWE NA DR. SLAA WAKAMATWE KWA MAUAJI YA RAIA <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<img border="0" height="263" src="http://1.bp.blogspot.com/-2yoQ6o9D4cA/Uh7nAG7k3QI/AAAAAAAAlEQ/MfqQ_XQmBJU/s400/1.png" width="400" /></div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> MBUNGE wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba (CCM), amechafua hali ya
hewa bungeni kwa kuitaka Serikali kuwachukuliwa hatua viongozi wa juu wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mbunge huyo alisema
mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe pamoja na Katibu Mkuu wake, Dk.
Wilbroad Slaa, wanapaswa kuchukuliwa hatua kwa madai ya kusababisha
mauaji ya raia.
</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span><a name='more'></a><br />Mwigulu, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM), Bara, alisema katika kipindi cha miaka miwili tangu nchi
ilipotoka kwenye uchaguzi, viongozi hao wamekuwa wakihamasisha
maandamano na kusababisha umwagaji wa damu za Watanzania.<br /><br />“Mheshimiwa
Naibu Spika, katika kipindi cha miaka miwili tangu nchi yetu
ilipomaliza Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, Mbowe na Dk. Slaa wamekuwa
wakitoa kauli za wazi na hata kusababisha mauaji ya watu bila hatia.<br /><br />“Kutokana
na hali hii, sijui Serikali inafanya nini katika kuwachukulia hatua,
kwani viongozi hawa wamekuwa wakitafuta umaarufu wa kisiasa kwa
kuchochea chuki na mauaji dhidi ya raia.<br /><br />“Kwa hali hiyo, tangu
kipindi hicho hadi leo hii wanasubiri nini badala ya kwenda kuwaweka
jela, kwani huko ndiko wanatakiwa kuwa,” alisema.<br /><br />Mwigulu,
alisema kukosekana kwa maadili kwa baadhi ya viongozi wa siasa, ambao
wamekuwa wakitumia majukwaa na kuhubiri umwagaji damu ni hatari kwa
taifa.<br /><br />Alisema viongozi hao wamekuwa wakitumia majukwaa hayo na
kusababisha vifo vya wananchi, huku akitaja vurugu zilizotokea katika
mikoa ya Morogoro, Iringa, Arusha na Singida.<br /><br />Akijibu swali hilo,
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora), George Mkuchika, alisema
Serikali inafanya kazi kwa mujibu wa sheria, ikiwa ni pamoja na
kukusanya ushahidi na kwamba mahakama ndicho chombo chenye uamuzi wa
mwisho dhidi ya adhabu kwa raia au kiongozi yeyote wa kisiasa.<br /><br />Kauli
hiyo ya Mwigulu ilionekana kuchafua hali ya hewa ndani ya Bunge, ambapo
Mbunge wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (Chadema), alisimama na kuomba
mwongozo wa Spika, huku akimtaka Mwigulu kuthibitisha kauli yake,
vinginevyo aombe radhi.<br /><br />Wenje alisema hoja ya Mwigulu imekosa
mashiko na ina lengo la kuwadhalilisha viongozi wa Chadema, huku
akisahau kuwa baada ya uchaguzi wa Arumeru Mashariki, aliyekuwa
Mwenyetiki wa Chadema tawi la Usa River, Omari Mbwambo, aliuawa na watu
anaodaiwa kuwa ni wafuasi wa CCM.<br /><br />Awali katika swali la msingi,
Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango (CCM), alitaka kujua Serikali
inachukua hatua gani kwa wanasiasa wanaokiuka maadili na kusababisha
uvunjifu wa amani.<br /><br />“Wanataaluma kama vile madaktari, wahandisi,
wahasibu na hata wakandarasi pindi wanapokiuka maadili ya kazi zao
huchukuliwa hatua kwa kufutiwa leseni zao.<br /><br />“Vile vile viongozi wa
kisiasa wanayo maadili yanayowaongoza, kwanini pale wanapokiuka maadili
ya kazi zao hawachukuliwi hatua kama ilivyo katika makundi hayo?
(taaluma),” alisema Kilango.</span></span></span>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-25509811185420359822013-08-29T12:28:00.001-07:002013-08-29T12:28:53.344-07:00CHUPI NA SHANGA ZA MSANII SHILOLE ZAANIKWA NJE- FIESTA <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div id="aim17017831716027368774">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<img border="0" height="265" src="http://1.bp.blogspot.com/-etvncDKMXzc/Uh7iNnDaMBI/AAAAAAAAlEA/uY9LZnLSKLE/s400/1.png" width="400" /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<img border="0" height="266" src="http://1.bp.blogspot.com/-rj1xnoZLgVA/Uh5VaVU5RMI/AAAAAAAAFj0/C8UXi5P0R_I/s400/SH2.jpg" width="400" /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a name='more'></a><img border="0" height="266" src="http://2.bp.blogspot.com/-pqpa7gcwoqI/Uh5UZBNMp5I/AAAAAAAAFjs/Tf5pa7IZ1ms/s400/SH1.jpg" width="400" /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span class="pinContainer" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYEJJpwnhva488z-rrvbTLWW3AmWogRoxWYHSb2DQi6UxB21oppfPYpI54IuQq9hZA2KeHIbR4KuiYaAKsKZ1W-BJa6W-b69H-a27wCYgez7uegW6w4uzPXTZ_aDvuSWuvalfT7CabCT4/s640/3.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYEJJpwnhva488z-rrvbTLWW3AmWogRoxWYHSb2DQi6UxB21oppfPYpI54IuQq9hZA2KeHIbR4KuiYaAKsKZ1W-BJa6W-b69H-a27wCYgez7uegW6w4uzPXTZ_aDvuSWuvalfT7CabCT4/s400/3.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<a href="http://www.blogger.com/null" name="more" target="_blank"></a></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOu8TdNk4Xzt7qWmgYNzIEbfCY-eTqrjgBp2bt8r_lE7UY5JcL1nv4ej6WxxFNdr81jAZsVPbjPVk3ngwdQI6LZrsr0WBl9S4OY1ehnnssSXx5B225YUYppOOmMLeZrTmOlUrmZqXQtac/s640/4.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOu8TdNk4Xzt7qWmgYNzIEbfCY-eTqrjgBp2bt8r_lE7UY5JcL1nv4ej6WxxFNdr81jAZsVPbjPVk3ngwdQI6LZrsr0WBl9S4OY1ehnnssSXx5B225YUYppOOmMLeZrTmOlUrmZqXQtac/s400/4.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvk929nxznMLtTvaJX2HQ5dfpFG4rcst0eThyphenhyphend79FIxgHZWveDisxzbFyFVqku2pXagMlgd18TzZef0wObzGyiFJd0CPKWF69cz9bNaykwJ_bXDEaoz7T4gciU_D3pYCYgQH-bNdJIOsY/s640/5.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvk929nxznMLtTvaJX2HQ5dfpFG4rcst0eThyphenhyphend79FIxgHZWveDisxzbFyFVqku2pXagMlgd18TzZef0wObzGyiFJd0CPKWF69cz9bNaykwJ_bXDEaoz7T4gciU_D3pYCYgQH-bNdJIOsY/s400/5.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<a href="http://www.blogger.com/blogger.g?blogID=1793626654207917403" name="more" target="_blank"></a><br />
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4h2HLsd8eyv-Mqy7VrEgO-vm8L9G0NcTChKgC9ml1xU4uSDaEEcSvkS9QtJLou2QwCOkaP43I_Q9KmeNxceVeSzXYAuDtrireJojiFLqx_idsTdyDqM18tIVRRsclIu6yhr7DORAqXuM/s640/6.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4h2HLsd8eyv-Mqy7VrEgO-vm8L9G0NcTChKgC9ml1xU4uSDaEEcSvkS9QtJLou2QwCOkaP43I_Q9KmeNxceVeSzXYAuDtrireJojiFLqx_idsTdyDqM18tIVRRsclIu6yhr7DORAqXuM/s400/6.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhI2y4Oruqb6pnQl7-Hcqn19z8IQhZUjuKBsdUQ4cynwhqAmDh0R56t8h3Ti5SI_G_Zz_KPakF3RjGt37SJbouhHm65yIbMRS4FgA0SxCeMZx6aPv8KT8S44d0xnvkmHgspMF4woHmiC2I/s640/7.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhI2y4Oruqb6pnQl7-Hcqn19z8IQhZUjuKBsdUQ4cynwhqAmDh0R56t8h3Ti5SI_G_Zz_KPakF3RjGt37SJbouhHm65yIbMRS4FgA0SxCeMZx6aPv8KT8S44d0xnvkmHgspMF4woHmiC2I/s400/7.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwhDZFAzI7_cyMbLerzLXILn5yT82RVOcdTyiOe0r7Wo1unIl_luLUvxWz9ufAmeQQWQUXKTzV_ZR0ZQak9pa5qfsjtDfA9t0R5cX9xlCb4OzVkObHgWClksWdUgScGWfR6vpLwuKkqKk/s640/8.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwhDZFAzI7_cyMbLerzLXILn5yT82RVOcdTyiOe0r7Wo1unIl_luLUvxWz9ufAmeQQWQUXKTzV_ZR0ZQak9pa5qfsjtDfA9t0R5cX9xlCb4OzVkObHgWClksWdUgScGWfR6vpLwuKkqKk/s400/8.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEit5c3tElENnN3eMSlWd_EWe3NcOmTCTqoe5veS3AwlSqpGaATUbdhOqeDjPOZ087-T40fzkAT-7yHldmzcbO3HSn8a7auXCgtfA_zwASV5bHrooyEQEzMA-JMtXZALow-jz31V3xNKlrs/s640/9.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEit5c3tElENnN3eMSlWd_EWe3NcOmTCTqoe5veS3AwlSqpGaATUbdhOqeDjPOZ087-T40fzkAT-7yHldmzcbO3HSn8a7auXCgtfA_zwASV5bHrooyEQEzMA-JMtXZALow-jz31V3xNKlrs/s400/9.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEio97061rp6Lnh7l8B2fW1kkqHAq4ojZz3xfEu4zbKKOGBwkxU-ICsscao_7eQSh3QNzmrJiWs8QDKSLKr7gXPWnVy-JN_p2IrOuRAHpDustxgPWbkRDl92_Rs1CKX5jSi6Ev2C1zPUNC0/s640/10.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEio97061rp6Lnh7l8B2fW1kkqHAq4ojZz3xfEu4zbKKOGBwkxU-ICsscao_7eQSh3QNzmrJiWs8QDKSLKr7gXPWnVy-JN_p2IrOuRAHpDustxgPWbkRDl92_Rs1CKX5jSi6Ev2C1zPUNC0/s400/10.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRTsBnpxzY8CyppmWWrRZYjsj6qB4bBX7DS5un7ZHyb3eu3zniIGlh5STVMc2hlfi-rYUtfpkqxZ5kKZlGhJYFwcgv2ft99WvlMIGhGb-aVHD_ONDNfw48M4taNKsXVHG8EHMKB-hXa5s/s640/11.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRTsBnpxzY8CyppmWWrRZYjsj6qB4bBX7DS5un7ZHyb3eu3zniIGlh5STVMc2hlfi-rYUtfpkqxZ5kKZlGhJYFwcgv2ft99WvlMIGhGb-aVHD_ONDNfw48M4taNKsXVHG8EHMKB-hXa5s/s400/11.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgVIXgpYsil0-8rOL6dmet5Ik0kWilvfnDPaGAQs4SW1n_owZDQrDOb8Vm34bsss6ieKLI3XjTxMrVea8o_NRWpSQv9CLR3FdM5nj6j_cvgMD9yGGzDRG77G0WSKOGTHTpgnKcMoXgJDg0/s640/12.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgVIXgpYsil0-8rOL6dmet5Ik0kWilvfnDPaGAQs4SW1n_owZDQrDOb8Vm34bsss6ieKLI3XjTxMrVea8o_NRWpSQv9CLR3FdM5nj6j_cvgMD9yGGzDRG77G0WSKOGTHTpgnKcMoXgJDg0/s400/12.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEicZrhObeZGht2BTMdQUMYiCoSKqRlml5FJRHYS8h4jQIJ8dKQh0N90x3JVlpiArxlL1kr0ft08iUztrGuiDbkVMEKZy763HpSMKs5C6e4KAKCSBAe3haWE3jI8Osug2_SS6WL931I0vEg/s640/13.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEicZrhObeZGht2BTMdQUMYiCoSKqRlml5FJRHYS8h4jQIJ8dKQh0N90x3JVlpiArxlL1kr0ft08iUztrGuiDbkVMEKZy763HpSMKs5C6e4KAKCSBAe3haWE3jI8Osug2_SS6WL931I0vEg/s400/13.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgDYD_09c5KNRtdcwa-8TQTZryWEL4mT5l5VSu7vSi2A1lo-IKnkw-NLE5BjPC3aBS7GViZn5PWfpHDa1f5eRfEPQ3eJzPXpHLCoOZAn6TakJKRyG2tk05Lk1mS3Mn-gnEtGCB_eFvH_X8/s640/15.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgDYD_09c5KNRtdcwa-8TQTZryWEL4mT5l5VSu7vSi2A1lo-IKnkw-NLE5BjPC3aBS7GViZn5PWfpHDa1f5eRfEPQ3eJzPXpHLCoOZAn6TakJKRyG2tk05Lk1mS3Mn-gnEtGCB_eFvH_X8/s400/15.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
<div>
<span class="pinContainer"><span class="pin" data-page-action-input="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgoo2GyiH0yGiW1lqrBcpM5slmZ7qVfmdqiZFaofQQ3gliNVa-QBI8qYpTtfgOmyDB0rti9mfMj_9xcpzO6fa7o0pYdYdURf4yKiip0MYM2e9qFDURNj5a0YV9s7ERiz4QWExLkNp5gzJg/s640/14.jpg" data-page-action="pinImage"></span><img border="0" class="pinable" height="266" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgoo2GyiH0yGiW1lqrBcpM5slmZ7qVfmdqiZFaofQQ3gliNVa-QBI8qYpTtfgOmyDB0rti9mfMj_9xcpzO6fa7o0pYdYdURf4yKiip0MYM2e9qFDURNj5a0YV9s7ERiz4QWExLkNp5gzJg/s400/14.jpg" style="display: block; max-width: 578px;" width="400" /></span></div>
</div>
<div style="clear: both; margin: 10px 0;">
<ins style="border: none; display: inline-table; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"><ins id="aswift_1_anchor" style="border: none; display: block; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"></ins></ins>
</div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-4037477277815473982013-08-29T12:24:00.004-07:002013-08-29T12:24:44.051-07:00WABUNGE WA TANZANIA NAO WASUSIA KIKAO CHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<img border="0" height="266" src="http://3.bp.blogspot.com/--6NJYCMKx-w/Uh7UZCbe0uI/AAAAAAAAlDk/xeZ472loIaY/s400/1.png" width="400" /></div>
<br />
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (EALA), jana kilivunjika kwa
mara ya pili baada ya Wabunge wa Tanzania, kutoka ndani ya ukumbi
wakipinga kanuni kuvunjwa juzi. </span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Baada ya wabunge wa Tanzania kutoka nje, Spika wa
Bunge hilo, Margareth Zziwa aliahirisha Bunge kwa dakika 15 ili kuweka
mambo sawa, lakini jitihada za kuwashawishi ziligonga mwamba na kuamua
kuahirisha Bunge hadi leo.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> <a name='more'></a></span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Hata hivyo, Mbunge wa Tanzania, Makongoro Nyerere
hakuungana na wenzake kugoma kwani alibakia ukumbini na kuungana na
wabunge 32 wa Burundi, Kenya, Uganda na Rwanda.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Awali, Mbunge Abdullah Ali Hassan Mwinyi alitoa
msimamo wa wabunge wa Tanzania kuwa walitoka, kupinga kitendo cha
wabunge wengine kudharau kiti cha Spika juzi na kutoka nje ili
kushinikiza hoja yao.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Mwinyi alisema ili kushinikiza kuheshimiwa kiti
cha Spika, wameamua kutoka nje ya ukumbi huo kwa kuonyesha hawaungi
mkono, tabia ya baadhi ya wabunge kushinikiza hoja zao, kujadiliwa na
Bunge hata kwa kukiuka kanuni na taratibu.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>“Jana(juzi) ilikuwa ni mara ya pili wenzetu,
kudharau kiti cha Spika na kutaka kutoa hoja na kujadiliwa bila kufuata
kanuni, sasa tumeona ni vizuri na sisi kwa kupinga kuvunjwa kanuni,
tutoke ili kuonyesha tunapinga mchezo huu,” alisema Mwinyi.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Mwinyi alisema kitendo cha wabunge wenzao kutoka
nje ya ukumbi kwa kukataliwa kuvunja taratibu, kinadhalilisha kiti cha
Spika na hata wabunge wenyewe.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Mbunge mwingine wa Tanzania, Twaha Taslima alisema
kanuni zipo wazi kuwa kama mbunge ana hoja na kutaka Bunge lijadili
mambo ambayo si ya dharura ni lazima aiwasilishe saa 24 kabla kwa Spika.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>“Sasa jana(juzi), Mbunge wa Kenya, Peter Mathuki
alitaka hoja yake ya kutaka utaratibu wa kufanyika bunge kwa mzunguko
ijadiliwe kitu ambacho hakikuwa sahihi,” alisema Taslima.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Muthuki, juzi aliungwa mkono na nchi zote wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), isipokuwa Tanzania.</span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Jana aliwasilisha hoja hiyo kwa kufuata utaratibu lakini haikujadiliwa baada ya wabunge wa Tanzania kutoka nje.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>
</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Katika hoja hiyo, msimamo wa wabunge wa Tanzania
na Kamati ya Uongozi ya Bunge ni kuwa vikao vyote vifanyike katika
ukumbi wa Bunge, Arusha baada ya kukamilika.</span></span><br />
<br />
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Wabunge wa Tanzania ambao jana walitoka ni Shyrose Bhanji, Profesa Nderakindo Kessy na Taslima. Wabunge wanne hawakuwapo.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span><div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Kwa mujibu wa kanuni za Bunge hilo, kama wabunge
watatu wa nchi moja, wakitoka nje kupinga jambo lolote basi kikao
kinaahirishwa kwa dakika 15 na wasiporejea bunge linaahirishwa.</span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span> </span></span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span>Akizungumzia mgogoro huo, Ofisa Habari wa EALA,
Bobi Odiko alisema kilichotokea jana si ukiukwaji wa taratibu na
kuongeza kuwa ana imani mambo yatakuwa sawa na vikao vitaendelea leo kwa
amani.</span></span></span>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-61362943226013542652013-08-29T12:22:00.005-07:002013-08-29T12:23:00.774-07:00SHEIK PONDA AFIKISHWA MAHAKAMANI TENA.....KESI YAAAHIRISHWA HADI SEPTEMBA 11 <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div id="aim12679616056971266203">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<img border="0" height="246" src="http://3.bp.blogspot.com/-cZPZ6RuXlW4/Uh7QeCTuUuI/AAAAAAAAlDY/HzARnyWzeEE/s400/1.png" width="400" /></div>
<br />
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa
Ponda jana alisababisha kusimama kwa shughuli za Serikali wilayani
Morogoro baada ya ofisi kadhaa ikiwamo ya Mkuu wa Wilaya na baadhi ya
mitaa kufungwa ili kupisha kusikilizwa kwa kesi inayomkabili katika
Mahakama ya Mkoa wa Morogoro. </span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span><br />
<a name='more'></a><span style="font-size: small;"><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Tofauti na Agosti 19, mwaka huu wakati
aliposafirishwa kwa helikopta, jana Sheikh Ponda alisafirishwa kwa
barabara kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro akiwa chini ya ulinzi.</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Mbali ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro
kufungwa, nyingine ni Hazina Ndogo, Madini, Posta, Vipimo, Ukaguzi na
Maktaba ya Mkoa.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Sababu za kufungwa kwa ofisi hizo pamoja na Mtaa
wa Stesheni na maeneo ya Posta ni kuwa jirani na Mahakama hiyo. Magari
yalizuiwa kutembea katika njia na maeneo ya karibu na ofisi pamoja na
Mahakama hiyo huku kukiwa na idadi kubwa ya askari polisi na magereza
kwa muda wote wa takriban saa mbili.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Alifikishwa mahakamani hapo saa 4:10 asubuhi akiwa
katika basi la Magereza ambalo lilisindikizwa na jingine dogo, huku
magari mengine yakisimamishwa kupisha msafara huo. </span></span>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><br /></span></span>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Mahakama hiyo
ilifurika umati wa wafuasi wa kiongozi kiasi cha kuwalazimu polisi na
wana usalama wengine kuweka utepe kuwazuia wengi wao kufika katika jengo
lililokuwa likitumika kuendesha kesi hiyo.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Shughuli katika eneo hilo zilirejea katika hali
yake ya kawaida saa 6:25 mchana baada kesi yake kuahirishwa na msafara
wa Sheikh Ponda kurejea katika Gereza la Segerea, Dar es Salaam ambako
yuko rumande.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Muda wote tangu kuwasili mpaka kusikilizwa kwa
kesi hiyo, wafuasi hao walikuwa kimya hadi pale ilipoahirishwa na hasa
baada ya Sheikh Ponda kuwapungia mkono alipokuwa akielekea kwenye basi
ambako walisikika wakisema: </span></span>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><br /></span></span>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">“Takbriir na kuitikia Allahu Akbar – (Mungu
Mkubwa).”</span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><br /></span></span>
<span style="font-size: small;"><b><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Kesi yenyewe</span></b></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Katika kesi hiyo, Wakili wa Serikali, Benard
Kongola alisema mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro,
Richard Kabate kuwa Sheikh Ponda alitenda makosa ya uchochezi Agosti 10,
mwaka huu saa 11.45 jioni kwenye maeneo ya Kiwanja cha Ndege, Morogoro.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Alisema siku hiyo, Sheikh Ponda alialikwa kutoa
maelezo machache kwenye Kongamano la Eid lililoandaliwa na Umoja wa
Wahadhiri Mkoa wa Morogoro (Uwamo) na kwamba akiwa hapo alitamka maneno: </span></span>
<span style="font-size: small;"><br /></span>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">“Ndugu Waislamu, msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za
misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Baraza la Waislamu Tanzania
(Bakwata), ambao ni vibaraka wa CCM na Serikali na kama watajitokeza
kwenu watu hao na kujitambulisha kwamba wao ni kamati za ulinzi na
usalama za misikiti, fungeni milango na madirisha ya misikiti yenu na
muwapige sana,” huku akijua kutoa maneno hayo ni kosa kisheria.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Alisema kwa kufanya hivyo, Sheikh Ponda
anayetetewa na mawakili watatu wanaoongozwa na Juma Nassoro, alivunja
masharti ya Mahakama ya kifungo cha nje iliyotolewa na Mahakama ya
Hakimu Mkazi Kisutu ya Mei 9, mwaka huu iliyokuwa imetamka kuhubiri
amani.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">
</span><br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Katika shtaka la pili, Sheikh Ponda anadaiwa
kuwashawishi wafuasi wake kutenda kosa la jinai kwa kuwaambia: </span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Serikali
ilipeleka jeshi Mtwara kushughulikia suala la vurugu iliyotokana na gesi
kwa kuwaua, kuwabaka na kuwatesa wananchi kwa sababu asilimia 90 ya
wakazi wake ni Waislamu, lakini haikufanya hivyo kwa wananchi wa
Loliondo waliokataa Mwarabu asipatiwe kipande cha ardhi ya uwindaji
baada ya kudai ni mali yao kwa sababu asilimia 90 ya wakazi wake ni
Wakristo.” </span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Shtaka la tatu ni kudaiwa kutamka maneno yaliyoumiza imani ya
watu wengine kama yalivyo katika shtaka la pili.</span><br />
<br />
</span><br />
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Baada ya kusoma mashtaka hayo, Kongola alisema walikuwa na
mashahidi 15 na vielelezo vitatu ambavyo ni DVD mbili na kibali
kilichotolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Morogoro(OCD), Agosti Mosi,
2013 cha kongamano husika na hati ya hukumu iliyotolewa na Mahakama ya
Kisutu, Mei 9, 2013.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span>
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Baada ya kusomewa, Sheikh Ponda alikana mashtaka
yote matatu huku akikubali kuwemo kwenye kongamano hilo. Alikiri
kukamatwa na polisi Agosti 11, Dar es Salaam.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span>
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Wakili wa utetezi, Nassor aliwasilisha ombi la
dhamana kwa mteja akisema mashtaka hayo yote kisheria yana dhamana. </span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> Pia
aliwasilisha ombi la kupatiwa hati yenye maelezo ya mlalamikaji ambaye
ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani alisema kuwa kutokana na
upelelezi upande wa mashtaka kukamilika, wanahitaji maelezo hayo kwa
ajili ya kuandaa utetezi.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span>
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Hata hivyo, Wakili Kongola aliiomba Mahakama
kutompa dhamana mshtakiwa kutokana na cheti kilichotolewa na Mkurugenzi
wa Mashtaka (DPP), kupinga dhamana ya mshtakiwa huyo kwa masilahi ya
usalama wa nchi.</span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"> </span></span></div>
<span style="font-size: small;">
</span>
<div>
<span style="font-size: small;"><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;">Akitoa mwongozo wa maombi yaliyowasilishwa na
pande zote mbili, Hakimu Kabate aliahirisha kesi hiyo hadi Septemba 11,
mwaka huu itakapotajwa tena na kwamba Septemba 17, mwaka huu Mahakama
itatoa uamuzi endapo mshtakiwa atapewa dhamana au la wakati itakapoanza
kusikilizwa.</span></span></div>
</div>
</div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-87960294843094164462013-08-29T12:06:00.001-07:002013-08-29T12:06:06.054-07:00Buibui_Bora ungesema..<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="344" src="//www.youtube.com/embed/oK1XOAPp0M8" width="459"></iframe>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-44210198796741509222013-08-02T11:19:00.001-07:002013-08-02T11:19:17.523-07:00Elisha Mgogo ft chegge & ally nipishe == Tofauti + audio song (Prod B...<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="270" src="//www.youtube.com/embed/zSQ91KXs__Y" width="480"></iframe>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-49367400510823623922013-07-24T02:35:00.003-07:002013-07-24T02:35:50.043-07:00MSAFARA WA MAZIKO YA WANAJESHI WA JWTZ WAPATA AJALI BAADA YA GARI KUPINDUKA HUKO ZANZIBAR... HII NDIO HALI YA MAJERUHI WA AJALI HIYO KWA SASA..!! <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="float: left; margin: 10px 0 5px 0; padding: 0; width: 100%;">
<div class="fb-like fb_edge_widget_with_comment fb_iframe_widget" data-send="true" data-show-faces="false" data-width="450">
<span style="height: 24px; width: 450px;"></span></div>
</div>
<div class="post-body entry-content">
<img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgEpHqAKqx4oZr-cuR0wxNrXLWT1FmKuWmNswbZOO4hyV9EDB9rUdPFH2QJY9DQDJlJ2XeCl9EDq-2Mg7KdRGixvQCe1Anwg5Oay210kKWwM6MFjN_VO-2hppeB3OGECNsYVeLDi-Y1rYHF/s640/Picture+4109.jpg" /> <br /> Dakari katika hospitali ya mnazi mmoja akitoa huduma ya kwanza kwa majeruhi wa ajali ya gari iliopinduka ikiwa katika msafara wa maziko ya Marehemu waliokufa Dafur, ajali hiyo imetokea baada ya kupinduka gari waliokuwa wamepanda wakienda makaburini kwerekwe. <br /> <img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjhYXbTt2H8YyMDr-W2aR7jp_MOqXYWXveqWQtxeLGIctrqIDXu9wzMfwCL2eqfkil0DOIfQuluKDOcEmYYhhzPcyvc9OneV50RuIzbx7vEHVKpJsAFkpm-gRQqnUcgoA0C8dNLwdUv9Pms/s400/Picture+4112.jpg" /> <br /> Majeruhi wa ajili yagari ya jeshi wakiwa katika hospitali ya mnazi mmoja wakisubiri huduma ya kwanza baada ya kufikisha hospitali hapo. kwa matibabu. <br /> <br /> <br /> <br /> <img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-zOhVgwmAkSbSZr4IDE_Dl8d4ks0rpxe2J5ewyR8twPTEBl5fX7ZkZOwcgIvZIEJ6MSG0PKSSymcsHHmob0koFP-SQsYyWKxXZh8HQRBfJWXWeJK0Jlrn_vOc6SuF4f0raPTeRe_T8gs5/s400/Picture+4122.jpg" /> <br /> Daktari katika hospitali ya mnazi mmoja akitowa huduma ya kwanza kwa majeruhi wa ajali <a name='more'></a>waliofikishwa hospitalini hapo kwa matibabu. <br /> <img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiA0pv2dLxmWqwKEuHKHBNpTxFDAsMQ4XjVxh7sbqQ-QlKsvAKKIkWE80CWQ9tJbMD3mNhHWWrW5GErS_BKrX0b4kdVj19lbOVB8qzG19ThyxTbBGsdgNQu-mxL4etpdk8H9fLHSHP0sKcO/s400/Picture+4125.jpg" /> <br /> <br /> <br /> <img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4RLcejZ771h0nde7St_4uws6PsJT2FjNFGkICfrf4OWvWsCDKkgNDC6Bl7pP52HxrPDdFTRhAf-zN5OraYiopFBiZKaJwTVzWSemBNBm5he4ccqPR0deX9QG6PNHi3mM9TQx1V7Nwj09O/s400/Picture+4130.jpg" /> <br /> <br /> <br /> <img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPEEWcvH822kuqlJMvsMhZjB4ZNppnGvGjhGgUF5fr8k7O5HU_mGUQ-JuIIyVW5W6peA7XuwnvcZr6626FBgwpzbuzdfofiAEUm1U0w0UWelIRhpOUQmJjLYfDuTmCxecglWfAKxWsFNiP/s400/Picture+4132.jpg" /> <br /> Makaktari katika ya Hospitali ya mnazi mmoja wakiandaa vifaa kwa ajili ya kutowa huduma ya kwanza katika hospitali kuu ya mnazo mmoja kwa matibabu, ajali hiyo imetokea maeneo ya mwankwerekwe sokoni. <br /> <img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFI1OBFDg_OvMhFFNTzd86J3ufmiqKpA75uxvFFh4PQb2hpcDuhggwopRAxtH1BUBg3_YZhzrpNt2x2r707xYC9IQAyG61PKmW8dP_Up3euKnqrBPpeDPW6u_CYwVfwBP5JwhAWol6gbHF/s400/Picture+4103.jpg" /> <br /> <br /> <div id="aim21416410257843449764">
</div>
</div>
<div style="margin: 0px 0px 0px 0px; padding: 0px 0px 0px 0px;">
<div>
<span style="height: 659px; width: 545px;"></span></div>
</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<br /></div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-69824489601435439592013-07-24T02:28:00.005-07:002013-07-24T02:28:50.808-07:00PICHA: DK. SHEIN AONGOZA MAZISHI YA WANAJESHI WA JWTZ WALIOUAWA HUKO DARFUL..!! <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="float: left; margin: 10px 0 5px 0; padding: 0; width: 100%;">
<div class="fb-like fb_edge_widget_with_comment fb_iframe_widget" data-send="true" data-show-faces="false" data-width="450">
<span style="height: 24px; width: 450px;"></span></div>
</div>
<div class="post-body entry-content">
<div id="aim15784392905159092744">
<span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEio8hqNr8n0jQCMy-DeRN7O2wuVwDgy7leS_97XqKhwibzDYlSDCwEGfT9LdAx7jjPIF-D1ezYTTHVtslOflAFB2RtlPYKVkyJ8ScJJ31oCLTy-htXDK_S3xsQ-APH265pJ90yNGFpUivdJ/s400/IMG_8259.jpg" /> <br /> Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akijumuika na Vingozi na Waislamu wengine katika Hitma ya wanajeshi waliouwawa kwa kupigwa risasi Jimbo la Daafur nchini Sudan hivi karibuni,Merehemu Sgt Shaibu Shehe Othman, na Cpl Mohammed Juma Ally iliyosomwa katika msikiti Masjid Nuru Muhammad,Mombasa Mjini Unguja leo </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqOd2mNwIaCoxouUTs1gNu_6l7hEUbkd_CMiJPWo_YI0ekzoLZi-U2BjAIzZEfJTg6JNXPHAqiw2LF1y5hcQe9m28qbbFX31VYkIdcfhVq0_GoQXXkqQKnLQNiO31xwoPHv-83FG58SOo4/s400/IMG_8290.jpg" /> <br /> Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa tatu kulia) akijumuika na Vingozi na Waislamu wengine katika kuwaswalia Merehemu Sgt Shaibu Shehe Othman,na Cpl Mohammed Juma Ally ,mbele katika msikiti Masjid Nuru Muhammad,Mombasa Mjini Unguja leo,wanajeshi waliouwawa kwa kupigwa risasi Jimbo la Daafur nchini Sudan hivi karibuni </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><a name='more'></a><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi_3p8lbYAxMSgnUxQjyDxeQBGn9s9Kav0IrhwLb9f0wK8E1OALdQi_PCHVrU81xVNL0D5KU6uahxYj8oOf3pkH317s7XgQ3t9QKex-OsSEAOxiDCNzIB08RWzrCG2fSpbaxWXuFnzUuGQW/s400/IMG_8331.jpg" /> <br /> Wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania wakibeba Jeneza la mwili wa Marehemu Sgt Shaibu Shehe Othman,baada ya kuwasilim katika makaburi ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar jana,akiwa ni miongoni mwa wanajeshi 7 waliouwawa kwa kupigwa risasi Jimbo la Daafur nchini Sudan hivi karibuni </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUMe6FC52w8mNFrSYFwX-wAgWAoGMPOnebq_T_v4A0zGzxqscmZT6GlkX-ZHLUun7_q5QXpLomCnJ6fv4yQ1KSkKKSfQ6VIucve9B4tUhS23X0OUslK76q1GGfvx73LG27xThSqGNQU5gx/s400/IMG_8378.jpg" /> <br /> Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto) na viongozi wengine walihudhuria katika mazishi ya Marehemu Sgt Shaibu Shehe Othman, katika makaburi ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar jana,akiwa ni miongoni mwa wanajeshi 7 waliouwawa kwa kupigwa risasi Jimbo la Daafur nchini Sudan hivi karibuni </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjln6VnBKuMVkfjR_wrjuT0U5KtMp2g283WMks9hwVr7rB-v1FxqheJTAbirVaJfUYRg2kSerSKr3bUi0Zz1tYrrsHjAYY8RItSahZvbu8gGJVUd6zbL-RFWjRAzEqoWBibgFg7ambK2E-E/s400/IMG_8387.jpg" /> <br /> Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akitia udungo katika Kaburi la Marehemu Sgt Shaibu Shehe Othman,aliyezikwa leo Mwanakwerekwe Mjini Unguja, akiwa ni miongoni mwa wanajeshi wa jeshi la Ulinzi la Tanzania 7 waliouwawa hivi karibuni Nchini Sudan Jimbo la Daafur </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjj-xnwC6XG_Ln-68aC3sA2LZdzgGcoCuZjT1mS0fAF1chzlcqKI8FeXs2-xVJ44mac7WTuWIwLGLrQxUTpJjwu2TnjSu2n6dS06sr50lc9GkWDhz2yK9UUBSzEfyZkjFNdDmuKvyT44Z7B/s400/IMG_8461.jpg" /> <br /> Baadhi ya Wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania na Ndugu na Jamaa wa marehemu Sgt Shaibu Shehe Othman, na Cpl Mohammed Juma Ally ,waliofurika katika viwanja vya makaburi ya Mwanakwerekwe,ambapo ndipo walipozikwa leo,mchana </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrJGZQzmylkWN73Bd7BDEtrZpUYYNgXT_bFPEsvSyMlxRVCEeo5AFohim7dfgkA6RdDPQAFuWVUfubzZBG_hivXunDKancCmYnPKUeiob424IzWjX7P141bOtHl5LDPxQp6zuR2EjAKtBh/s400/IMG_8497.jpg" /> <br /> Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) na Vingozi na Waislamu,wakiangalia Wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania,walipokuwa wakitoa hesha ya mwisho kwa marehemu Sgt Shaibu Shehe Othman,wakati wa mazishi yake katika makaburi ya Mwanakwerekwe leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]</span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Na Rajab Mkasaba, Ikulu </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo umeungana na viongozi mbali mbali wakiwemo wa vikosi vya ulizi na usalama wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar pamoja na wafiwa na wananchi katika mazishi ya wanajeshi wa Zanzibar waliouwawa huko Darfur Jumaamosi ya Julai 13 mwaka huu. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Majira ya saa nne za asubuhi Dk. Shein akiwa pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad walishiriki katika duwa ya Hitma iliyosomwa kwa ajili ya maiti zote mbili pamoja na kuwasalia maiti hao huko katika masjid Noor Mohammad (S.A.W), Mombasa kwa Mchina, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Wananchi, wafiwa pamoja na viongozi mbali mbali wa vyama na serikali walihudhuria katika Hitma hiyo ambapo mapema Dk. Shein alitia saini vitabu vya maombolezi kwa ajili ya marehemu hao huko katika eneo hilo la masjid Noor Mohammad (S.A.W). </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Baada ya kumaliza dua na sala hiyo ya maiti Dk. Shein, aliongozana na viongozi wengine na wananchi walielekea katika Makaburi ya Mwanakwerekwe kwa ajili ya mazishi ya marehemu hao. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"> </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Katika makaburi ya Mwanakwerekwe mamia ya wananchi walikuwa tayari wameshajipanga kwa ajili ya kuwaaga narehemu hao ambao wote wamezikwa katika eneo hilo maarufu la makaruni liliopo Wilaya ya Magharibi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Mbali ya wananchi hao waliokuwa wameshafika na kujipanga katika eneo hilo la makaburi nao wanajeshi wa kikosi cha Ulinzi cha JWTZ walikuwa wameshajipanga vyema kwa ajili ya kuwaagaa wenzao kwa mila, desturi na taratibu zote za Kijeshi kama ilivyo desturi. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Katika eneo hilo la Makaburi la Mwanakwerekwe, Dk. Shein aliungana na viongozi mbali mbali wa vyama na Serikali akiwemo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Shamsi Vuai Nahodha, wakuu wa vikosi vya ulinzi na usalama vya SMT na SMZ na wananchi pamoja na wafiwa. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Taratibu za mazishi zilianza katika eneo hilo ambalo makaburi mawili yaliokuwa yamechimbwa karibu karibu, mwili wa marehemu Sajenti Shaib Shehe Othman ulianza kuzikwa kwa kuanza na taratibu zote za kijeshi na baadae kufuata taratibu za kuzika za kidini. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Mara baada ya kuzikwa kwa mwili wa Marehemu Sajenti Shaib Shehe Othman, mwili wa marehemu Koplo Mohammed Juma Ali ulizikwa pembezoni mwa kaburi hilo na kufuata taratibu zote za kijenshi na baadae taratibu za kidini. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Baada ya hatua hiyo ya mazishi salamu za Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete zilitolewa ambapo salamu hizo zilitoa pole kwa wafiwa na wanafamilia wa marehemu na kuwaombea kwa MwenyeziMungu aziweke roho za marehemu mahala pema peponi. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Aidha, salamu hizo zilieleza kuwa msiba huo ni wa Taifa zima na si kwa upande wa Tanzania pekee bali ni Afrika na dunia nzima kwa ujumla. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Nao wanafamilia na wazazi wa marehemu hao, walitoa shukurani zao za dhati kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa juhudi kubwa ilizozichukua katika kuhakikisha marehemu hao wanafika katika maeneo yao ya kuzikwa kwa kufanikisha taratibu zote za usafiri kwa ufanisi mkubwa. </span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /></span></span> <span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: small;"><br /> Sambamba na hayo, wazazi na wanafamilia hao waliendelea kutoa shukurani zao za dhati kwa Serikali zote mbili kwa kuweza kupata taarifa kwa kila hatua iliyokuwa ikichukuliwa katika mchakato wote wa usafiri wa watoto wao hao tokea huko Sudan hadi kuwasili Tanzania na hatimae leo kuzikwa hapa Zanzibar</span></span></div>
</div>
<br />Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-56501977268545779292013-07-24T02:24:00.002-07:002013-07-24T02:24:56.530-07:00KIJANA AMUUA MWENZAKE WAKIGOMBANIA PENZI LA MSICHANA HUKO MBEYA..!! <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="float: left; margin: 10px 0 5px 0; padding: 0; width: 100%;">
<div class="fb-like fb_edge_widget_with_comment fb_iframe_widget" data-send="true" data-show-faces="false" data-width="450">
<span style="height: 24px; width: 450px;"></span></div>
</div>
<div class="post-body entry-content">
<div id="aim16844335675851034201">
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: small;"></span></span></div>
<div style="clear: both; margin: 10px 0;">
<div style="float: right; height: 280px; width: 336px;">
<ins style="border: none; display: inline-table; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"><ins id="aswift_2_anchor" style="border: none; display: block; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"></ins></ins></div>
</div>
Mnamo tarehe 21/07/2012 majira ya saa 23:30hrs huko kijiji cha Nkwangu wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya, Seni s/o Sandu, miaka 20, Msukuma, mkulima na mkazi wa Nkwangu aliuawa kwa kupigwa fimbo kichwani na Tolo s/o Seko, miaka 20, Msukuma, mkulima na mkazi wa Nkwangu.<br />
<br />
Chanzo ni ugomvi wa kumgombania msichana aitwaye Holo d/o Kulwa, miaka 16, Msukuma mkulima na mkazi wa Nkwangu.<br />
<br />
<br />
Mtuhumiwa amekamatwa na taratibu za kumfikisha mahakamani zinaandaliwa.<br />
<br />
<img border="0" height="301" src="http://2.bp.blogspot.com/-c-A7guiGybQ/Ue5g8J_FthI/AAAAAAAAjhg/moEZuyEwDaA/s400/1.gif" width="400" /> <br />
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya kamishna msaidizi wa polisi diwani athumani anatoa wito kwa jamii kutojichukulia sheria mkononi kwani ni kinyume cha sheria na kudhibiti hasira zao kwa kuyatatua matatizo ya kimapenzi kwa njia ya mazungumzo ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza.<br />
<a name='more'></a><br />
Signed by, [Diwani Athumani – ACP] kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya. </div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-60334732554648024042013-07-24T02:21:00.005-07:002013-07-24T02:21:59.505-07:00MJANE ALIYETIMULIWA KATIKA MSIBA WA MWANAJESHI WA JWTZ AJITOSA TENA KUHUDHURIA MAZISHI YA MUMEWE...!! <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="float: left; margin: 10px 0 5px 0; padding: 0; width: 100%;">
<div class="fb-like fb_edge_widget_with_comment fb_iframe_widget" data-send="true" data-show-faces="false" data-width="450">
<span style="height: 24px; width: 450px;"></span></div>
</div>
<div class="post-body entry-content">
<div id="aim19080469821801787337">
FAMILIA ya Marehemu, Fortunatus Msofe, ambaye ni mmoja wa wapiganaji wa JWTZ, waliofia Darfur, wamemzuia aliyekuwa mchumba wake Amina Juma kushiriki katika mazishi na kumfungia mlango wa nyumba ya marehemu asiingie ndani mara tu baada ya taarifa za kifo cha marehemu kuwafikia. <br /> <br /> Hata hivyo Amina amelazimika kwenda Tanga kushiriki shuguli za mazishi ya marehemu pamoja na kwamba familia ya marehemu haitaki kumuona katika msiba huo.<br /> <img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-k4C45iFhuUE/Ue5dCaFkMgI/AAAAAAAAjhA/M5OlMtgqMUk/s400/1.gif" /> <br /> <br />Akizungumza na gazeti moja la kilasiku la kiswahili nchini Tanzania, Amina alisema kwamba ingawa awali alikata tamaa ya kumzika mwenzake, lakini jana aliamua kwenda Tanga kuhudhuria mazishi na kwamba hatua hiyo ilikuja baada ya kujishauri sana.<br /> <a name='more'></a><br /> <br /> Baba wa marehemu, Wilbad Msofe aliiambia gazeti hilo kutoka Kange, Tanga kuwa alishangazwa na hatua ya Amina kutowafahamisha kuhusu msiba huo. Alisema hiyo ndiyo sababu za yeye kuamua kutaka mwanawe apelekwe Kange kwa mazishi.<br /> <br /> Akizungumza na gazeti hilo akiwa njiani kwenda Kange, Amina alisema: “Nilikuwa ninataka sana kumzika mwenzangu lakini ile hali ilikuwa imenichanganya pamoja na kwamba nilishauriwa, sasa nimekata shauri nakwenda Tanga.<br /> <br /> “Najua kuna kitu hapa, lakini ‘Fortu’ kwa kuwa nilikuwa naye, na wana ndugu wa upande wa wake wameshanikana, mimi nitamzika tu mwenzangu na kurudi,” alisisitiza. <br /> <br /> Miili ya wapiganaji hao iliagwa jana katika Makao Makuu ya Jeshi, yaliyoko Upanga na Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Majeshi, Davis Mwamunyange, makamanda na wanajeshi walishiriki kuwaaga wanajeshi hao.<br /> <br /> Akizungumza kwa masikitiko na huku sauti ikiwa imemkauka kutokana na kulia muda mrefu, Amina alisema: “Siwazii mtafaruku uliopo, moyo umenituma kwenda kumzika mume wangu, niliwaza usiku kucha na leo (jana) Jumatatu asubuhi nikaamua kwenda Tanga.”<br /> <br /> <br /> “Msofe amekufa tulikuwa tuna mipango mingi, tulipanga harusi kubwa lakini haikuwahi kufanyika, niliongea naye alfajiri ya Jumamosi ya Julai 13, akaniambia tutaongea baadaye maana wanakwenda kwenye operesheni...<br /> <br /> <br /> “Unajua tuliishi maisha ya kipekee sana tulipendana kiukweli hata majirani tuliokuwa tukiishi nao Mbezi na Visiga wanajua hilo na wengi walikuwa wakinisihi sana nisije kumuudhi huyu kijana. <br /> <br /> "Nafsi inauma sana. Nawashangaa wazazi wake kwa kunikana"<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: small;"> </span></span></div>
</div>
<br />Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-76668825473918273882013-07-24T02:17:00.004-07:002013-07-24T02:17:51.014-07:00AFYA YA MAALIM NGURUMO YAZIDI KUDHOHOFIKA...MARADHI YA MWILI YADAIWA KUMTESA SANA...!! <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="float: left; margin: 10px 0 5px 0; padding: 0; width: 100%;">
<div class="fb-like fb_edge_widget_with_comment fb_iframe_widget" data-send="true" data-show-faces="false" data-width="450">
<span style="height: 24px; width: 450px;"></span></div>
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: small; margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="255" src="http://4.bp.blogspot.com/--LxWC7t0qlA/Ue6CVeCQFwI/AAAAAAAAC1Y/QtqTACzfQJo/s400/NGURUMO.PNG" width="400" /></span></div>
<div class="post-body entry-content">
<span style="font-size: medium;"><span style="font-size: small;"><strong><a name='more'></a></strong></span><span style="font-size: small;">KILA binadamu hutamani kuwa na mwisho mzuri. Hakuna apendaye kupatwa na misukosuko ya kiafya, awe dhaifu hata kushindwa kutoka ndani angalau akajitafutie riziki.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Waja hupanga na kupangua tu lakini mwamuzi wa leo na kesho ni Mungu aliye juu! Tafakari leo upo vema, una siha njema, tena barabara kabisa. Ikifika nyakati upo ndani huwezi kutoka itakuwaje? Usimcheke anayelia leo, hujui kesho yako itakuwaje.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Muhidin Maalim Gurumo, 72, alipata kuwa mwanaume shupavu sana. Mungu akamjalia kipaji cha muziki, akabarikiwa nyota ya kupendwa. Asimamapo jukwaani basi mashabiki ni hoihoi na raha tupu. </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"><img height="400" src="http://api.ning.com/files/2GtxRmwiJrv2eX5hmsZmGnfbrSO2z3*ih-zacN4LT3Gmn8-vgkkjYQIdi5AxwkeUyO1fLYZQeNJjzSYir-09F03r9H1GWWDX/gurumo1.jpg" width="300" /></span><span style="font-size: small;"> Tangu miaka ya 1960 kama ungethubutu kutamka humjui Gurumo, ungeonekana mshamba mwenye tongotongo nyingi, mjini ungechekwa. Alikuwa staa mkubwa sana wa muziki. Jina lake limebaki juu kuanzia nyakati hizo mpaka sasa.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Ni kamanda hodari, aliyeifanya Bendi ya Msondo ‘Msondo Ngoma’ ipate heshima kubwa mpaka ikaitwa Baba ya Muziki Tanzania. Tungo zake nyingi ni lulu ambayo haitafutika kamwe. Kinachoumiza kwa sasa ni kuona Gurumo hawezi tena kusimama jukwaani.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Hana uwezo wa kutoa burudani iliyozoeleka. Ile sauti yake yenye mawimbi haipatikani tena katika majukwaa ya muziki. Kikubwa kinachotesa moyo ni kwamba Msondo ambayo ni bendi yake, akimiliki hisa za kutosha kama mmoja wa wamiliki, haina msaada wowote kwake.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Mzee analalamika. Msondo hii ndiyo ile aliyoivusha kupitia majina ya Nuta, Juwata, na Ottu, ikiwa inamilikiwa na Chama cha Wafanyakazi. Hakujua kama mambo yangekuwa hivi leo. </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Itambulike kuwa yeye akiwa na wenzake kama marehemu Shaaban Mhoja Kishiwa maarufu kama ‘TX Moshi William’, Saidi Mabera, marehemu Suleiman Mbwembwe, Othuman Momba, Joseph Maina na wengineo, ndiyo waliounganisha nguvu na kuimiliki, baada ya chama cha wafanyakazi kujiondoa katika uendeshaji wa bendi. </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Mzee analia ukata. Maradhi yanamtesa lakini shida za dunia na msongo wa mawazo ambao anao kutokana na kutengwa na wenzake, ni hatari kubwa inayofupisha siku zake za kuishi.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> ANAUMWA NINI? ALIANZA KUUMWA LII?</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Katika mahojiano na mwandishi wetu, nyumbani kwake, Ubungo Garage, Dar es Salaam, Gurumo anasema: “Ninasumbuliwa na maradhi ya moyo. Nakumbuka nilianza kuumwa yapata miaka mitatu iliyopita. Kipindi hicho ndipo nilipatwa matatizo ya kushindwa kuimba kwa sauti ya juu.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Kila nilipojitahidi kuimba kwa sauti ya juu, nilijikuta nikichoka sana. Niliendelea kujikaza lakini siku moja nilizidiwa, nikapelekwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Hospitali walinipima kwa kina, wakagundua moyo wangu umepanuka, yaani umekuwa mkubwa kuliko kipimo chake cha kawaida. Madaktari wakanishauri nipumzike kwa muda, niache kuimba. Nikatii ushauri.” </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> AJITUTUMUA NA KURUDI JUKWAANI</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Naipenda sana kazi yangu ya muziki. Vilevile kazi yangu ndiyo iliyokuwa inaniwezesha kupata fedha za kujikimu, kwa hiyo baada ya kujiona nina nafuu kidogo nilirudi jukwaani.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Niliporudi kazini nilikuwa naimba lakini siyo sana kama mwanzoni. Mashabiki wangu waliponiona nimerudi, walifurahi sana, hivyo kuzidi kunipa moyo. Hata hivyo, hali yangu ikawa siyo nzuri kadiri siku zilivyosogea, mwisho daktari akanishauri niache kabisa kuimba.” </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> MATESO YA KULIPA KISOGO JUKWAA </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Kwa sasa nateseka sana. Muziki umekuwa kila kitu kwangu kwa takriban miaka 50 sasa. Ni kazi ambayo nimeifanya kwa moyo wangu wote katika kipindi chote hicho. Leo hii ugonjwa unanilazimisha nisiimbe.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Pamoja na kuumia lakini sina jinsi, siwezi kulazimisha kupanda jukwaani kuimba kwa sababu hali itakuwa mbaya zaidi. Kuna wakati nikiwa ndani, nikisikiliza nyimbo zangu, machozi yananitoka, siamini kwamba kila kitu kwenye maisha yangu kimebadilika.’ </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> MBONA MSONDO HAWAMTHAMINI? </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Gurumo ni mmoja wakurugenzi wa Msondo lakini analalamika: “Ni jambo la kusikitisha sana, unajua Msondo ni yetu sote, mimi nikiwa mmoja wa wamiliki, nastahili mgawo kulingana na jinsi bendi inavyoingiza lakini toka niugue, sijawahi kupata chochote.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Kuna kipindi mwanamuziki mmojammoja anajitoa na kunisaidia alichonacho lakini siyo fungu linalotokana na mgawo ambalo kwa hakika nastahili. Pamoja na hivyo, namshukuru Mungu kwa yote.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Nimetumikia Msondo kwa muda mrefu sana na nilipata ugonjwa huu nikiwa kazini. Hata nilipoanza kuugua bado niliendelea kuimba. Nimefanya kazi kwa uaminifu wangu wote. Ingefaa wakathamini mchango wangu, kile wanachokipata nami wanikumbuke.” </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> ANGALAU NYUMBA INAMSITIRI </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Kwa kweli kitu ambacho naweza kujivunia sana ni nyumba yangu hii niliyoijenga mwaka 1984, kipindi hicho nilikuwa Bendi ya Mlimani Park Orchestra, kipindi hicho ikiitwa DDC Mlimani Park Orchestra.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Kama siyo nyumba hiyo sijui leo ningekuwa mgeni wa nani. Fikiria kuwa leo hii siwezi kufanya kazi, ningepata wapi fedha za kulipa kodi? Labda ningerudi kijijini ambako huko mateso yangekuwa makubwa zaidi kutokana na haya maradhi yangu.” </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> FARAJA PEKEE NI MKEWE </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Japokuwa naumwa lakini hakuna kitu kinachonipa faraja kama mke wangu, Pili Said. Nimeishi naye tangu mwaka 1967, haikuwahi kutokea kufikiria kuongeza mke mwigine.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Tumezeeka pamoja, siku zote tumeishi kwa upendo na maelewano sana. Nazidi kumshukuru kwamba kipindi hiki naumwa, yeye ndiye faraja yangu ya pekee.” </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> AIOMBA SERIKALI IMSAIDIE</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Nikiwa kama mwanamuziki wa muda mrefu sana, naomba serikali inisaidie. Nilijituma muda mrefu jukwaani, kwa hiyo naomba nithaminiwe, kwani sasa hivi sipati mahitaji muhimu.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Namshukuru sana Rais Jakaya Kikwete kwa kuja kuniona kipindi nilipokuwa nimelazwa Muhimbili, siku ile nilijiona mwenye bahati sana kutembelewa kiongozi huyo mkuu wa nchi, alinifariji sana.” </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> HISTORIA YAKE KWA UFUPI </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Nilizaliwa Masaki, Wilaya ya Kisarawe, Pwani, mwaka 1941. Elimu ya Msingi ilisoma Shule ya Pugu kuanzia darasa la kwanza mpaka la tatu, mwaka 1956, mjomba wangu alinihamishia Dar es Salaam ambako nilisoma zaidi masomo ya Kuran, Mtaa wa Lindi, Ilala.</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Nilisoma Kuran mpaka mwaka 1960 ambako nilijiunga na Nuta. Mwaka 1967, nilifuga ndoa na mke wangu, hivyo kufanikiwa kuzaa watoto wanne. </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> “Bendi ya Nuta baadaye ilibadili jina na kuitwa Juwata, baadaye Ottu Jazz. Mwaka 1978 nilihamia Mlimani Park Orchestra na mwaka 1985 nilijiunga na Bendi ya Orchestra Safari Sound (OSS- Ndekule) lakini siku zote maisha yangu yamekuwa Msondo ambayo ndiyo bendi iliyopitia majina ya Nuta, Juwata na Ottu.”</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Mwaka 1990 Gurumo pamoja na mwimbaji Hassan Rehan Bitchuka walirudi Msondo na tangu hapo mwimbaji huyo hajaihama bendi hiyo mpaka anaposumbuliwa na maradhi ingawaje swahiba wake mkubwa Bitchuka alirudi Mlimani Park mwaka 2002. </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> WENZAKE MSONDO WANASEMAJE?</span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> Mmoja wa wakurugenzi wa Msondo, Saidi Mabera anatoa maelezo yanayopingana na Gurumo, anasema: “Ninachojua ni kwamba kile ninachopata mimi ndicho ambacho Gurumo anakipata. Kama hakimfikii hapo mimi sina la kusema.” </span><span style="font-size: small;"><br /></span><span style="font-size: small;"> USHAURI</span><br /> Hili suala la Gurumo kutengwa na wenzake inafaa liangaliwe kwa makini sana. Msondo wanatakiwa kumjali mwenzao. Mabera fanyia kazi hili, kama mgawo unatoka, sasa inakuwaje haumfikii?</span></div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-5403036359585587142013-07-24T02:12:00.001-07:002013-07-24T02:12:17.320-07:00POLISI WAFANIKIWA KUMKAMATA MVUTA BANGI ANALIYEMUUA MDOGO WAKE KWA KUMKATA MAPANGA HUKO SINGIDA... <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<h2 class="date-header">
<span></span></h2>
<div class="post-body entry-content">
<div style="clear: both; margin: 10px 0;">
<div style="float: right; height: 280px; width: 336px;">
<ins style="border: none; display: inline-table; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"><ins id="aswift_2_anchor" style="border: none; display: block; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"></ins></ins>
</div>
</div>
<div id="aim2798670940440970268">
Jeshi la polisi mkoa wa Singida limefanikiwa kumkamata Elibariki Alphoce
(21) mkazi wa kijiji cha Kizega wilaya ya Iramba, anayetuhumiwa kumuua
mdogo wake Mariam (9) mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya
msingi Kizega.<br /><br />Elibariki
anatuhumiwa kumuua mdogo wake Mariam Julai 16 mwaka huu katika kijiji
cha Kizega kwa kumkatakata kwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na
kisha kuteganisha kichwa na kiwiliwili.<br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" height="300" src="http://3.bp.blogspot.com/-LtW9K6OX9Kw/Ue52wDysbsI/AAAAAAAAjhw/Jv4Xh6EO0v8/s400/1.gif" width="400" /><a name='more'></a></span></span><span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" height="300" src="http://3.bp.blogspot.com/-LtW9K6OX9Kw/Ue52wDysbsI/AAAAAAAAjhw/Jv4Xh6EO0v8/s400/1.gif" width="400" /> </span></span><br />
<span style="font-family: Georgia,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: small;">Ilielezwa kuwa Elibariki ni mtumiaji sugu wa madawa ya kulevya aina ya bangi.<br /><br />Kamanda
wa jeshi la polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela, amesema
mtuhumiwa huyo amekamatwa Julai 18 mwaka huu akiwa amejificha kando
kando ya mto Ruruma wa kijiji cha Ruruma tarafa ya Kiomboi. </span></span>
</div>
</div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-69132481826433036382013-07-24T02:08:00.003-07:002013-07-24T02:08:41.324-07:00WANAJESHI 7 WA JWTZ WALIPIGANA MASAA MAWILI WAKIJARIBU KUUNUSURU UHAI WAO HUKO DARFUL KABLA MAUTI HAIJAWAFIKA...!! <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="float: left; margin: 10px 0 5px 0; padding: 0; width: 100%;">
<div class="fb-like fb_edge_widget_with_comment fb_iframe_widget" data-send="true" data-show-faces="false" data-width="450">
<span style="height: 24px; width: 450px;"></span></div>
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1923756/medRes/546999/-/maxh/240/maxw/460/-/23wxgcz/-/New+Document.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="207" src="http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1923756/medRes/546999/-/maxh/240/maxw/460/-/23wxgcz/-/New+Document.jpg" width="400" /></a></div>
<div class="post-body entry-content">
<div id="aim11470227663699217147">
</div>
<div style="clear: both; margin: 10px 0;">
<div style="float: right; height: 280px; width: 336px;">
<ins style="border: none; display: inline-table; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"><ins id="aswift_2_anchor" style="border: none; display: block; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"></ins></ins></div>
</div>
<a href="http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1923756/medRes/546999/-/maxh/240/maxw/460/-/23wxgcz/-/New+Document.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"></a><div id="aim21470227663699217147">
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">WANAJESHI saba wa Jeshi la Ulinzi la
Wananchi wa Tanzania (JWTZ), waliouawa <a name='more'></a>wakati wakilinda amani Darfur
nchini Sudan, walipigana kwa saa mbili wakati wakijitetea kabla ya
kufikwa na mauti.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini,
Jenerali Davis Mwamunyange, alisema hayo jana Dar es Salaam, wakati
akitoa salamu za rambirambi, wakati wa kuaga askari hao waliouawa Julai
13.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Katika shughuli hiyo iliyofanyika Makao
Makuu ya Jeshi la Wananchi (JWTZ), Rais Jakaya Kikwete aliongoza
waombolezaji kuaga mashujaa hao ambapo pia Makamu wa Rais, Dk Mohammed
Gharib Bilal na mawaziri mbalimbali walihudhuria.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">“Kikundi hicho (askari wa JWTZ) kilikuwa
kikitokea eneo la Abeche, kwenda Nation na kilipofika umbali wa
kilometa 25, doria hiyo ilipunguza mwendo kutokana na utelezi wa matope
yaliyosababishwa na mvua.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><br /></span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">“Ghafla kikundi hicho kilishambuliwa na
watu ambao hawakufahamika, wakitumia silaha nzito za kivita,” alisema
Jenerali Mwamunyange.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Alisema ulikuwa ni mtego wa mashambulizi
na kwa mujibu wa taratibu za operesheni hizo, doria hiyo haikuwa na
silaha nzito, lakini ililazimika kujibu mapigano hayo hadi kikundi
kingine cha askari wa JWTZ, kilipoitwa kuongeza nguvu kunasua wenzao
katika mtego huo.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Jenerali Mwamunyange alisema wakati
kikundi hicho kikinasuliwa, askari hao walipoteza maisha kwa ujasiri
mkubwa na wengine 14 kujeruhiwa.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Alisema Tanzania imefikwa na msiba huo
wa mashujaa, ikiwa imeshiriki kulinda amani Sudan tangu mwaka 2007,
ambapo askari wake wamekuwa wakitekeleza majukumu yake kwa weledi wa
hali ya juu, kwa kushirikiana na vikundi vingine na wenyeji katika
maeneo ya operesheni.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Majina yao Awali Kaimu Msemaji wa JWTZ,
Meja Joseph Masanja, alitaja majina ya mashujaa hao na mahali
wanapokwenda kuzikwa, kuwa ni pamoja na Sajini Shaibu Othman (Zanzibar)
na Koplo Osward Chaulo (Kilolo, Iringa). Wengine ni Koplo Mohammed Ally
(Zanzibar), Koplo Mohammed Chukulizo (Kigoma), Praiveti Rodney Ndunguru
(Songea), Praiveti Fortunatus Msofe (Tanga) na Praiveti Peter Werema
(Tarime, Mara).</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Rais Kikwete alisema mauaji ya wanajeshi
hao, yalimshitua, kumhuzunisha na kumkasirisha na kujikuta akijihoji
kwa nini watu wa Sudan waue Watanzania.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Alisema Watanzania hao walikwenda
kuwasaidia kupata amani, utulivu, kunusuru maisha yao na kuwaondolea
mazingira ya wasiwasi ili wafanye shughuli zao kwa tija.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Alisema tangu kuanza kwa shughuli za
ulinzi wa amani Darfur, walinzi wa amani 41 kutoka mataifa mbalimbali
wameuawa, na 55 kujeruhiwa na hakusita kuamini kuwa waliofanya tukio
hilo ni wasiotaka amani Darfur.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">“Idadi hii ni kubwa, inahitaji
kutafakari vizuri na kutazama upya mfumo wa kiwango cha kujilinda kwa
wanajeshi… lazima uwezo huo uongezwe ili kupunguza vifo zaidi,” alisema
Rais Kikwete.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Aliahidi kufikisha maombi hayo kwa Umoja
wa Afrika (AU) na Umoja wa Mataifa (UN), ili walitazame vizuri. Mchango
wa Tanzania Rais Kikwete alisema Tanzania tangu Uhuru imekuwa
ikijitolea kusaidia wanyonge dhidi ubaguzi, uonevu na wengine ambao njia
za diplomasia zimekuwa zikitumika.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Aidha, alisema wakati wote walipoombwa,
walijua uwezekano wa askari wao kujeruhiwa au kupoteza maisha, ni mambo
yaliyofikiriwa kuwa yanaweza kutokea kwani walikwenda kwenye maeneo ya
hatari, yenye mapigano.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Alisema kutokea hayo si ajabu, lakini
hadhari kubwa ilichukuliwa kwa kupewa mafunzo, zana za kujihami,
kujilinda na kutekeleza majukumu.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Rais Kikwete alisema baada ya mauaji
hayo ya Darfur alizungumza na Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki-moon ambaye
alielezea masikitiko yake na kutoa pole nyingi, na kueleza kwamba
alizungumza na Rais wa Sudan, Omar Al-Bashir, ili achukue hatua ya
kusaka na kuwaadabisha wahalifu hao.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">“Nami pia nilifanya mazungumzo na Rais
wa Sudan, na alielezea masikitiko yake na nilimsisitizia umuhimu wa
Serikali yake kufanya hivyo, kwa kuwa tukio hilo limetokea huko na hivyo
waliofanya hivyo ni Wasudani,” alisema Rais Kikwete.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Alisema alimsisitiza, kwamba kwa kuwa
mauaji hayo yamefanyika katika mamlaka ya Sudan, waliohusika wawe Waasia
au Wasudani, lakini achukue hadhari zote kuwasaka.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Waziri Ulinzi Waziri wa Ulinzi na Jeshi
la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha, alisema Watanzania wamesikitishwa
na mauaji hayo na inaweza kuwa mkakati wa kufifisha juhudi za UN kuleta
amani.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">“Wizara itatoa kila msaada kuwezesha maziko na kusaidia familia za marehemu na waliojeruhiwa,” alisema Nahodha.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, Meja Jenerali Salum Mustapha
Kijuu, Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu, alisema tukio hilo linasikitisha
na ni msiba wa Taifa kwa kuwa askari hao walikufa kazini na ni
mashujaa.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Katika eneo hilo, miili ya wanajeshi hao
iliingia kila mmoja kwa gari maalumu la Jeshi na kupokewa na maofisa wa
JWTZ na kupelekwa sehemu iliyoandaliwa kuagwa. UN itatoa medali kwa
kila askari, kwa kutambua mchango wao.</span></div>
</div>
</div>
<br />Read more: <a href="http://talkbongo.blogspot.com/2013/07/wanajeshi-7-wa-jwtz-walipigana-masaa.html#ixzz2Zx69Pshr" style="color: #003399;">http://talkbongo.blogspot.com/2013/07/wanajeshi-7-wa-jwtz-walipigana-masaa.html#ixzz2Zx69Pshr</a>Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-62412070042297222032013-07-24T02:03:00.002-07:002013-07-24T02:03:22.638-07:00MKEMIA MKUU WA SERIKALI KUICHUNGUZA TINDIKALI ALIYOMWAGIWA MMILIKI WA HOME SHOPPING CENTER...!! <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="float: left; margin: 10px 0 5px 0; padding: 0; width: 100%;">
<div class="fb-like fb_edge_widget_with_comment fb_iframe_widget" data-send="true" data-show-faces="false" data-width="450">
<span style="height: 24px; width: 450px;"></span></div>
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, limepeleka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali maji yanayodhaniwa kuwa ni tindikali aliyomwagiwa mmiliki wa maduka ya Home Shopping Center (HSC), Said Mohammed Saad kwa ajili ya uchunguzi. </div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div id="aim11434813329079990972" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
<img height="285" src="http://3.bp.blogspot.com/--If8aZqnNGU/Ue4lGSF_B-I/AAAAAAAAjgI/GFO96w0SKLo/s400/1.gif" width="400" /> <br /> Mmoja wa Ofisa wa Polisi, ambaye hakutaka kutaja jina lake aliliambia gazeti hili jana kuwa baada ya tukio hilo polisi wameamua kuyachukua maji hayo na kuyapeleka huko kwa uchunguzi ili kubaini ndani yake yalikuwa na nini. <br /> <a name='more'></a><br /> Tukio hilo la kumwagiwa maji hayo lilitokea Julai 20 mwaka huu saa 1 usiku karibu na Kituo cha Polisi cha Osterbay wilayani Kinondoni, wakati Saad akizungumza na mmoja wa wafanyakazi wake katika duka lake jipya lililopo katika maeneo hayo. <br /> <br /> “Majibu yatakayotoka kwa Mkemia Mkuu yatatusaidia katika upelelezi wetu katika jambo hili,” alisema Ofisa huyo na kuongeza kuwa. <br /> <br /> “Hadi sasa hakuna mtu yeyote anayeshikiliwa kutokana na tukio hili huku polisi wakiendelea na msako mkali wa kuwabaini wahusika.” <br /> <br /> Alidokeza kuwa kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa Saad wanasema mgonjwa wao anaendelea vizuri na matibabu katika moja ya hospitali aliyolazwa, huku polisi wakimsubiri apate ahueni kwa ajili ya kumfanyia mahojiano juu ya tukio hilo. <br /> <br /> Katika hatua nyingine, polisi kanda hiyo leo wanatarajia kufanya mkutano na waandishi wa habari kutoa ufafanuzi kuhusu suala kulipuka kwa bomu katika mkutano wa Chadema. <br /> <br /> Tukio hilo lilitokea Julai 22 mwaka huu maeneo ya Viwanja vya Sahara Mabibo wakati kitu kinachodhaniwa ni bomu kilichokuwa ndani ya gari la polisi kilirushwa katika mkutano huo.</div>
<br />
<div class="post-body entry-content">
</div>
<br />Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-5778560057009687560.post-80810188139933368992013-07-24T01:59:00.001-07:002013-07-24T01:59:39.320-07:00MAFUTA YA UBUYU YAZUA MAPYA TENA....ALBINO WAKATAZWA KUYATUMIA KWAAJILI YA NGOZI ZAO..!! <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="float: left; margin: 10px 0 5px 0; padding: 0; width: 100%;">
<div class="fb-like fb_edge_widget_with_comment fb_iframe_widget" data-send="true" data-show-faces="false" data-width="450">
<span style="height: 24px; width: 450px;"></span></div>
</div>
<div class="post-body entry-content">
<div id="aim13205150090714620465">
</div>
<div style="clear: both; margin: 10px 0;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-TE8B8m6mc-o/UdpxJCBQmpI/AAAAAAAAiuA/VDhGpWmN3ko/s1600/2.gif" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="312" src="http://2.bp.blogspot.com/-TE8B8m6mc-o/UdpxJCBQmpI/AAAAAAAAiuA/VDhGpWmN3ko/s400/2.gif" width="400" /></a><div style="float: right; height: 280px; width: 336px;">
<ins style="border: none; display: inline-table; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"><ins id="aswift_2_anchor" style="border: none; display: block; height: 280px; margin: 0; padding: 0; position: relative; visibility: visible; width: 336px;"></ins></ins>
</div>
BAADHI ya wagonjwa wa Saratani waliolazwa katika Taasisi ya Saratani Ocean Road mjini Dar es Salaam, wamebainika wanatumia mafuta ya ubuyu wakati yanadaiwa kusababisha saratani ya ini. Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA katika taasisi hiyo, umebaini wagonjwa wengi wanatumia mafuta hayo kwa usiri mkubwa. Katika hatua nyingine, Chama cha Albino Tanzania (TAS), kimewataka watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), wanaotumia mafuta hayo kuacha mara moja, hadi hapo Serikali itakapotoa taarifa <a name='more'></a>rasmi kuhusu matumizi ya mafuta hayo kwa ngozi ya albino.<br /> Katika uchunguzi huo, imebainika baadhi ya albino hutumia mafuta hayo kwa kujipaka huku wengine wakiwa na vidonda kwenye ngozi zao.<br /> <br /> Akizungumza na MTANZANIA, Katibu wa Chama hicho Taifa, Ziyada Nsembo alisema, TAS hakina elimu kuhusu bidhaa hiyo, hivyo wanaotumia wanaweza kuathiri ngozi zao zaidi.<br /> <br /> “Tunawataka albino wanaotumia mafuta haya waache mpaka Serikali itakapotoa tamko rasmi kuwa mafuta hayo hayana athari kwa ngozi ya albino.<br /><br />“Ngozi ya albino ni nyepesi, ina uwezo mkubwa wa kupitisha kemikali ndani ya mwili, ikiwa hayafai kunywa basi kwetu hayafai hata kujipaka, maana wengine wana vidonda. <br /> <br /> “Tumeamua kutoa kauli hii kwa sababu kuna mafuta ambayo albino hatakiwi kupaka mchana, huwa hayana uwezo wa kukinga mionzi ya jua. <br /> <br /> “Haya mafuta ya ubuyu tunaelezwa kuwa yanalainisha ngozi, hatujui kama yanakinga ya mionzi ya jua, hilo ndilo tatizo letu, tunashauri yasitumike hadi wataalamu wa masuala ya ngozi ya albino watufahamishe,” alisema Katibu huyo.<br /> <br /> Mmoja wa albino ambaye ni kiongozi, alisema ameshawahi kutumia mafuta hayo.<br /> <br /> “Wapo albino wanaotumia haya mafuta, hata mimi ni mmoja wapo, ila sikujua kama yana madhara, kwa sasa nimeacha kutumia.” </div>
</div>
Wake up Tanzaniahttp://www.blogger.com/profile/03482806185300362593noreply@blogger.com0