MAJINA YA WASHINDI WA TUZO ZA FILAMU ZA STEPS ENTERTAINMENT HAYA HAPA


Yafuatayo ni majina ya washindi wa tuzo za filamu kwa mwaka 2012/13 toka kampuni ya steps entertainment zilizofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa hoteli ya blue Pearl iliyopo ubungo jijini Dar es Salaam.

Katika tuzo hizi Merehemu steven Kanumba aling'ara kwa kupata tuzo nyingi kuliko waigizaji wote kwa kupata tuzo tatu.

Mwigizaji bora wa kiume ni JB kupitia filamu ya ‘Nakwenda kwa mwanangu’ aliyocheza na mzee Majuto.

1.Best Director : Ray Kigozi (Women Of Principle)

2.Best Actor: Jacob Steven ( Nakwenda Kwa Mwanangu )

3.Best Actress : Iree Paul

4.Best Movie : - Kijiji Cha Tambua Haki

5.Best Selling Movie :- Ndoa Yangu

6..Best Best Story :- Nice Muhammed (Baamed)

7.Best Screen Play :- Ally Yakuti

8.Best Cameraman :- Zakayo Magulu

9.Best Sound :- Bharghasi Saidi

10.Best Editor : Timoth Conrady

11.Best Production House:RJ Production Company

12.Best Supporting Actor : Rado (I think I hate my wife )

13.Best Supporting Actress: Riama Ally ( Tabu Ya kuolewana)

14.Best Producer : John Lister

15.Best Comedian :King Majuto

16.Most Promising Actor : Niva

17.Most Promising Actress : Irene Paul

18.Best Child Artist : Jennifer

19.Best Action Movie :Double J

20.Best Perfomance in a negative role : Mohammed Nurdin -checkbudi (Azma)

21.Special Jury Award : Jennifer Kyaka (odama)

21.Best movie on National Integration:Mwalimu Nyerere

22.Best Movie for the development of culture & Language :Toba

23.Posthumous Awards :- Late:Kanumba, Late:Sajuki , Late:Sharobaro,Late:John

No comments:

Post a Comment