HIVI NDIVYO MUME WA KHADIJA KOPA ALIVYOZIKWA HUKO BAGAMOYO...!!
Wakazi
wa mtaa wa Magomeni wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani wakiwa wamebeba
jeneza lenye mwili wa mume wa Khadija Kopa, Jafary Ally ambaye ni Diwani
wa CCM kata ya Magomeni wakati wakielekea makaburi kwa ajili ya
shughuli za mazishi.
No comments:
Post a Comment