Huyu
ni Ally Zona muuza magazeti wa Msamvu Morogoro akiwa hajitambui baada
ya kutandikwa risasi na Polisi kuzuia maandamano ya chadema
Mtu
mmoja anadaiwa kufa kwa kupigwa risasi Kichwani huku wengine kadhaa
wakijeruhiwa vibaya kwa Risasi za moto baada ya Polisi kuwarushia
Risaasi za moto na mabomu ya machozi waandamani wa Chadema mjini hapa.
Wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema
Askari waliokuwa katika eneo la tukio kabla ya kuanza kwa maandamano hayo
Moshi wa mabomu yaliolipuliwa kutawanya maandamano ya chadema leo mjini morogoro
Gari la chadema lililokuwa likiongoza maandamano hayo
Mmoja wa kiongozi wa chadema akiwa amekamatwa akiwa ndani ya gari la polisi
Wafuasi wa chadema wakiwa na maandamao hayo mjini morogoro
No comments:
Post a Comment